Ndugu wana jamvi kuna sababu ya kujua mpenzi wako unayetaka kumuandaa kuwa my wife au my husband alikuwa anaishije kwenye maisha yake ya kimapenzi hapo nyuma. Tusaidiane maana nataka kuingia katika maisha ya ndoa lakini bado sijampata wa kumoyo.
NB: Wana JF inawezekana hii thread ilishajadiliwa hapo nyuma lakini TAFADHALINI tusaidiane tena kimawazo wanajamii wenzangu!!
Ndugu wana jamvi kuna sababu ya kujua mpenzi wako unayetaka kumuandaa kuwa my wife au my husband alikuwa anaishije kwenye maisha yake ya kimapenzi hapo nyuma. Tusaidiane maana nataka kuingia katika maisha ya ndoa lakini bado sijampata wa kumoyo.
NB: Wana JF inawezekana hii thread ilishajadiliwa hapo nyuma lakini TAFADHALINI tusaidiane tena kimawazo wanajamii wenzangu!!
Ndugu wana jamvi kuna sababu ya kujua mpenzi wako unayetaka kumuandaa kuwa my wife au my husband alikuwa anaishije kwenye maisha yake ya kimapenzi hapo nyuma. Tusaidiane maana nataka kuingia katika maisha ya ndoa lakini bado sijampata wa kumoyo.
NB: Wana JF inawezekana hii thread ilishajadiliwa hapo nyuma lakini TAFADHALINI tusaidiane tena kimawazo wanajamii wenzangu!!