Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,758
- 12,174
Ukifuatilia mijadala ya bunge kuhusu bajeti ya serikali na hoja ya waziri mkuu utagundua kuwa miradi mingi iliyopangwa miaka mitatu iliyopita ama haijatekelezwa au haijaanza kabisa!
Ushauri wangu ni kuwa wabunge waamue kusitisha mijadala ya wizara nyingine zote na kuiagiza serikali kuendelea utekelezaji wa miradi iliyopangwa miaka iliyopita badala ya kuanza kujadili miradi mipya! Hii itaokoa muda na fedha kujadili miradi isiyo tekelezeka!
Tafakari!
Ushauri wangu ni kuwa wabunge waamue kusitisha mijadala ya wizara nyingine zote na kuiagiza serikali kuendelea utekelezaji wa miradi iliyopangwa miaka iliyopita badala ya kuanza kujadili miradi mipya! Hii itaokoa muda na fedha kujadili miradi isiyo tekelezeka!
Tafakari!