Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 539
hapo inabidi mke awe mke na mama awe mama.....
Mama asiingilie maisha ya ndani ya mwanae na mkewe......
Na mke ampende mama mkwe na kumchukulia kama mzazi, kumoa huduma inayostahili........
Ila mama akiact kama nyumba yake na mke akitzka kutake control ya nyumba yake hapo matatizo huanza...........
Mke akiwamchoyo na kutomjali mama mkwe napo matatizo huanza......
hapo umenena