Kuna rafiki yangu kaoa.

fazaa

JF-Expert Member
May 20, 2009
2,984
1,026
Kama mlivyo ona hapo juu ya kichwa cha habari...kuna rafiki yangu ana matatizo na mke wake kamuambia hataki kuishi na mama yake huyo mme wake nyumba moja, na huyo mama yake hana pakwenda...Kaomba ushauri kwangu, mimi nimempa ushauri mzuri sana kama huu; Kila mmoja aishi na wazazi wake, na mke wake awe anakuja kwake anampiga vitu akisha maliza kila mmoja anarudi kwao, yeye anabaki na mama yake, na mke wake anarudi kwa wazazi wake...Mke akiwa kakumbuka kamchezo kachumbani anamuita wanacheza wakisha maliza kila moja anarudi kwao...Nilivyo muambia hivyo kaniambia eti ushauri wangu sio mzuri nyie mnge mpa ushauri gani :biggrin:
 
fazaa hivi unaijua nini thamani ya ndoa? na je unajua heshima yake? ushauri wako ni mbaya sana. swali ni je huyo rafiki yako alizaliwa njiani hadi huyo mama akose pa kwenda? yeye kwake nani anapaangalia?
 
Last edited by a moderator:
Kama mlivyo ona hapo juu ya kichwa cha habari...kuna rafiki yangu ana matatizo na mke wake kamuambia hataki kuishi na mama yake huyo mme wake nyumba moja, na huyo mama yake hana pakwenda...Kaomba ushauri kwangu, mimi nimempa ushauri mzuri sana kama huu; Kila mmoja aishi na wazazi wake, na mke wake awe anakuja kwake anampiga vitu akisha maliza kila mmoja anarudi kwao, yeye anabaki na mama yake, na mke wake anarudi kwa wazazi wake...Mke akiwa kakumbuka kamchezo kachumbani anamuita wanacheza wakisha maliza kila moja anarudi kwao...Nilivyo muambia hivyo kaniambia eti ushauri wangu sio mzuri nyie mnge mpa ushauri gani :biggrin:
JF is never boring. Kwahiyo kwa ushauri wako unataka watoke kwenye ndoa warudi kwenye uchumba, na watoto wawaleaje? Kuna mawili hapo ama ndoa ivunjike au kutafuta namna ya kumtunza mama bila kuishi hapo nyumbani. Nafahamu mtu mmoja aliyeamua kumpangishia baba yake nyumba na kumtafutia mfanyakazi wa kumpikia, kumfulia na kazi nyingine ndogondogo. Na jamaa alikuwa anapeleka mahitaji zaidi huko kuliko hata hapo kwa mke wake. Ile ilisaidia sana kumfanya mzazi aishi kwa furaha, na mke naye atulie.
 
Kama mlivyo ona hapo juu ya kichwa cha habari...kuna rafiki yangu ana matatizo na mke wake kamuambia hataki kuishi na mama yake huyo mme wake nyumba moja, na huyo mama yake hana pakwenda...Kaomba ushauri kwangu, mimi nimempa ushauri mzuri sana kama huu; Kila mmoja aishi na wazazi wake, na mke wake awe anakuja kwake anampiga vitu akisha maliza kila mmoja anarudi kwao, yeye anabaki na mama yake, na mke wake anarudi kwa wazazi wake...Mke akiwa kakumbuka kamchezo kachumbani anamuita wanacheza wakisha maliza kila moja anarudi kwao...Nilivyo muambia hivyo kaniambia eti ushauri wangu sio mzuri nyie mnge mpa ushauri gani :biggrin:

To be honest with my self...ushauri ulioutoa ni the best and only kwa aina ya watu kama hugo (assuming kuwa story ni ya kweli).

Nasema nje ya hapo uwezi kumpa mtu ushauri ambao hawezi ku- comprend... kama mkewe alimweleza hivyo na bado anahitaji ushauri zaidi basi hawezi kusaidiwa kimawazo labda vinginevyo.

Kuna mfano hai mkoa mmoja TZ yuko bwana mmoja anaishi na mama yake mzazi na mke wake under the same roof for over 11yrs straight....mpaka mama mzazi ameachika na mumewe kitambo tu. Kifupi maisha yao ni drama kwa kwenda mbele including mama kumtafutia mwanaye mwenye mke wa ndoa mwanamke anayemkubali etc.
 
kwanza kwa nini anaishi na mama yake?
Hana mume au mume kafariki?
Je yeye ni mtoto wa pekee?

Tabia ya mama yake ikoje?(hata kama anampenda vipi mama yake, kama ni mkorofi ndani ya moyo wake anajua)

je kwa nini mama yake na mkewe hawapatani? Je mke ana tabia gani?

Akijua tabia ya mke, na tabia ya mama yake ndio ataweza kusolve hili tatizo........ Na anapaswa kukisolve kama mwanaume aliyepevuka si kulalia upande mmoja.....
 
fazaa hivi unaijua nini thamani ya ndoa? na je unajua heshima yake? ushauri wako ni mbaya sana. swali ni je huyo rafiki yako alizaliwa njiani hadi huyo mama akose pa kwenda? yeye kwake nani anapaangalia?
gfsonwin najua sana thamani ya ndoa...navyo jua unapo owa na unapo olewa kubali kuishi na mke wako/mme wako kwa mazuri na mabaya, unless kuna ukosefu wa adabu kutoka pande zote mbili.

Sikatai ushauri wangu unaweza kuwa si mzuri, lakini je kama mzazi wake ndo hana pakwenda na yeye ni mwanaume peke yake katika family ya mama yake, dada zake wawili wameolewa sa huoni kama ni aibu kumuacha mama yake akaishi kwa mashemeji zake.
 
wakati mwingine mama na mkwe kuwekwa pamoja inakuwa shida labda kama wanaelewana
kama yeye ndio anatakiwa kumlea mamake bora kumtafutia mama sehemu ya kuishi kunusuru ndoa
 
To be honest with my self...ushauri ulioutoa ni the best and only kwa aina ya watu kama hugo (assuming kuwa story ni ya kweli).

Nasema nje ya hapo uwezi kumpa mtu ushauri ambao hawezi ku- comprend... kama mkewe alimweleza hivyo na bado anahitaji ushauri zaidi basi hawezi kusaidiwa kimawazo labda vinginevyo.

Kuna mfano hai mkoa mmoja TZ yuko bwana mmoja anaishi na mama yake mzazi na mke wake under the same roof for over 11yrs straight....mpaka mama mzazi ameachika na mumewe kitambo tu. Kifupi maisha yao ni drama kwa kwenda mbele including mama kumtafutia mwanaye mwenye mke wa ndoa mwanamke anayemkubali etc.
Kama nimekusoma sawia, mfano wako una- Refer Wachaga, kwa maana ndio zao.
 
hili swala la mama mkwe naona siku hizi linaanza kuwa janga la kitaifa.....
 
lol hio yako kali...,amtafutie mama pa kwenda....

somtime tusiwe tunawaendekeza wanawake. Mbona ye ndugu zake anawasaidia hata kwa kuiba? Mi wa kwangu nilishamwambia you can not be superior to my mother! Dada zangu naweza nikakusamehe.
 
gfsonwin najua sana thamani ya ndoa...navyo jua unapo owa na unapo olewa kubali kuishi na mke wako/mme wako kwa mazuri na mabaya, unless kuna ukosefu wa adabu kutoka pande zote mbili.

Sikatai ushauri wangu unaweza kuwa si mzuri, lakini je kama mzazi wake ndo hana pakwenda na yeye ni mwanaume peke yake katika family ya mama yake, dada zake wawili wameolewa sa huoni kama ni aibu kumuacha mama yake akaishi kwa mashemeji zake.

fazaa kwani huyu mama wakati anawazaa hawa watot hakuwa na boma?yaani mji wake? aende akake huko huduma zimfuate. hivi anataka akae na mwanae amnyime binti wa watu kuufaid muhogo.....lol. Manake bwana raha ya muhogo uugunie kidogo sasa uko na mama mkwe hapo utaweza kutoa mguno? asimchoshe bwana. Hata kama ni mgonjwa amuajirie mfanyakazi.

nikuulize swali hivi huyu mama akipata shida za kike au ugonjwa kama mkamwana hayupo kijana atamuogesha mama yake? sasa asijitwike mzigo mzito kuliko yeye.
 
Last edited by a moderator:
Wataftie CD za michezo ya kanumba za kutosha. Risechi yangu nimegundua wanawake wakiangalia movie za kanumba na uwoya wanakuwa wanaelewana kupita maelezo katika kufatilia na kuhadisiana mchezo.
Wanawake bana!

klorokwini loya my loya nimeku pm.. mie mamayako naendelea kuishi nae.

hadi kanga tunavaliana na sokoni tunashikana mikono.
 
Last edited by a moderator:
hapo inabidi mke awe mke na mama awe mama.....
Mama asiingilie maisha ya ndani ya mwanae na mkewe......
Na mke ampende mama mkwe na kumchukulia kama mzazi, kumoa huduma inayostahili........

Ila mama akiact kama nyumba yake na mke akitzka kutake control ya nyumba yake hapo matatizo huanza...........
Mke akiwamchoyo na kutomjali mama mkwe napo matatizo huanza......
 
Back
Top Bottom