Emmanuel_mtui
Member
- Apr 10, 2012
- 56
- 13
Leo ni zaidi ya wiki sasa watu wanaenda kucheck afya ktk vituo hivi na kukutana na maelezo hatupimi tumeishiwa dawa, nilikuwa nasikia habari hii kwa muda ila leo nimethibitsha mwenyewe baada ya kwenda kituo cha afya tabata na kukutana na maelezo hayo , Je kwa hali hii Tanzania bila ukimwi inawezekana?