Wana Jf,
Hapa nataka kujaribu kuunganisha dots zangu kwa matukio yafuatayo:-
1. Mapambano ya Lowasa kama alivyoahidi? - Maana ukichukulia watu wake wa karibu ndio hao wanahamia CDM na yeye yupo kimyaaaaa. Na hasa tutegee nini kutoka kwa huyu mheshimiwa au bado anapima upepo?
2. Hukumu ya Lema? - Au ni ile hukumu mbovu ndio imachanganya watu ukichanganya na maombi ya Lema?
3. Ripoti ya CAG na Kamati za bunge? - Ila hili ndio limekaa katika kiungio ya haya yote.
4. Ushindi wa dogo janja pamoja na kujulikana kwa nia ya Kanumba(R.I.P) kutaka kugombea ubunge SHY kabla ya kifo? Je kumeamsha vijana?
My Take: Kuna kitu nyuma ya vuguvugu hili ambacho mi sikijui labda mwenzangu unaweza kupembua.
Hapa nataka kujaribu kuunganisha dots zangu kwa matukio yafuatayo:-
1. Mapambano ya Lowasa kama alivyoahidi? - Maana ukichukulia watu wake wa karibu ndio hao wanahamia CDM na yeye yupo kimyaaaaa. Na hasa tutegee nini kutoka kwa huyu mheshimiwa au bado anapima upepo?
2. Hukumu ya Lema? - Au ni ile hukumu mbovu ndio imachanganya watu ukichanganya na maombi ya Lema?
3. Ripoti ya CAG na Kamati za bunge? - Ila hili ndio limekaa katika kiungio ya haya yote.
4. Ushindi wa dogo janja pamoja na kujulikana kwa nia ya Kanumba(R.I.P) kutaka kugombea ubunge SHY kabla ya kifo? Je kumeamsha vijana?
My Take: Kuna kitu nyuma ya vuguvugu hili ambacho mi sikijui labda mwenzangu unaweza kupembua.