Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
jamii leo nimeona nijisalimishe haba kwenu labda nitapata maarifa.
mke wangu ana msifia sana mdogo wangu wa kiume, yaani kuna wakati hata hakuna humuhi wa hizo sifa lakini yeye anamwaga tu sifa kwa bwana mdogo!!!!!!
nimefanya utafiti sijagundua kitu chochote mimi nampenda sana mdogo wangu nashindwa kumuondoa hapa nyumbani kwa kutumia hisia tu kwamba yawezekana kuna kitu kati yake na mama watoto au mama watoto anakitu kichwani?
mahusiano yetu yako sawa tu sijagundua kasoro, lakini sifa na maongezi muda wote kuhusu bwana mdogo sasa yanaanza kunipa ishara mbaya kichwani mwangu
naombeni maarifa sitaka kuchemka nawajari na kuwapenda wote, mmoja kama mke na mwengine kama ndugu
TUKICHEKA NA CCM TUTAVUNA MABUHA.
"Freedom is never voluntarily given by the oppressor;it must be demanded by the oppressed".
Martin Luther King, Jr
http://www.lifeofmshaba.com
wanaoteseka na ufisadi ni wanawake na watoto
@ KIKWETE HATOKE MAGOGONI HATUFAI
Aisee im out