Kuna nini KCMC?

Yes yametimia mwisho wa uongozi wa Kidhalimu wa Prof.Shao umetimia.Yupo nje na Taarifa rasmi Kuna Mkurugenzi Mgeni.Pia taarifa za uhakika hatakiwi hata kule Makumira Universuty.Wadau wenye taarifa zaidi tuzilete.Sasa amebaki dhalimu Mmoja Dr.Mark Swai yeye alitoa notisi alitaka kukimbia na sasa amerudi tena kufuta notisi yake.Siku zote Mungu husikia kilio cha wanyonge...nae ataondoka kwa aibu kama mwenzake
 
Prof Shao KCMC itakuwa bora hata morali ya Watumishi ipo juu sasa ..ila kikwazo ni huyu dhalimu Swai aliyebaki..BODI ya KCMC tunaomba mshughulikie suala hili
 
Yes yametimia mwisho wa uongozi wa Kidhalimu wa Prof.Shao umetimia.Yupo nje na Taarifa rasmi Kuna Mkurugenzi Mgeni.Pia taarifa za uhakika hatakiwi hata kule Makumira Universuty.Wadau wenye taarifa zaidi tuzilete.Sasa amebaki dhalimu Mmoja Dr.Mark Swai yeye alitoa notisi alitaka kukimbia na sasa amerudi tena kufuta notisi yake.Siku zote Mungu husikia kilio cha wanyonge...nae ataondoka kwa aibu kama mwenzake
 
Eheeeeeeeeeeeeeeeeee, Serikalini chali..., KKKT chali.....Makubwa...Malasusa tunahitaji kukusikia kwa hili.
 
Wadau wa KCMC tupeni hatima ya KCMC MULIPOTOKA, MULIPO, NA MUENDAKO ! maana hali ni tete,kifedha na kiutendaji.
 
Zote hizi ni fitina kwa sababu Profesa Shao aliwabania wengi kufuja mali ya KCMC.
 
Inasikitisha sana hospitali tuliyoitegemea sasa ni danguro kuanzia sasa hata namba yangu ya faili niliyo pewa mwaka 1985 naitupa
 
Mkuu Hana Hoja Huyu na hapa ni jukwaa la siasa mod anzisheni jukwaa la malamiko


Re: Kuna nini KCMC?
By nguvumali
kwako Tankibovu na Nyivonduma nyinyi nyote ni wamoja rejea tarehe yakujiunga nasi jamiiforums,
inawezekana kukawa na tatizo la uendeshaji lakini namna ulivyowasilisha maoni yako ni kama mashambulizi binafsi........Tupe report ya TAKUKURU Iliishia wapi, tueleze je Pro Shao anamalaka yakumuhaishia daktari kwenda rufaa Mbeya ama hospitali nyingine ya rufaa hapa Tz, je Askofu anaweza kuwaziba midomo wafanyakazi wa Wizara ya afya kwa maslahi gani anayowapa ?
I agree! Hata kama kuna matatizo katika utendaji wa KCMC, shambulio kama la kwako ni kosa kisheria linalojulikana kama "slander" au "defamation of character", na linalo potential ya kufuatiliwa kisheria kwa kuwa umezusha tuhuma za uhalifu. Elezea una uthibitisho gani ya kusupport madai yako. Pia, una jibu gani hasa ya yale maswali aliyouliza nguvumali?!?

Unafikiri sentensi kama
By tankibovu

"leo hii KCMC imekuwa makao ya mapepo na wachawi ... mafisadi. ... anainajisi KCMC... Waganga wapiga ramli wanacheza na kuweka tunguli, kisa cheo!"
... zinakuongezea credibility ama zinatufanya tutilie mashaka nia zako na uwezo wako wa kusababu? Leta mada yako kiutu-uzima ili tukuamini. JF siyo "KIU" au "Ijumaa"!
Like


Miaka 30 na iliyopita mtumishi wa Mungu Askofu Stephano Moshi wa KKKT alipata maono...Kilimanjaro Christian Medical Centre kwa kushirikiana na wengine akiwemo Prof Otto Walter hospitali hii mashuhuri na aina yake ikajengwa...ikakua.
Leo hii KCMC imekuwa makao ya mapepo na wachawi wenye uchu wa madaraka , mafisadi. Prof John Shao anainajisi KCMC ili kulinda cheo chake. Waganga wapiga ramli wanacheza na kuweka tunguli, kisa cheo!


Prof Shao amekuwa kiongozi hapa kwa zaidi ya miaka 10. Mwanzoni alifanya mema sasa hivi amenogewa hataki kuondoka...patamu pesa, wanawake, madaraka.
KCMC imekuwa danguro....viongozi kuzaa na watumishi...hakuna maadili tena. Waliokuwa wakisali kutwa kwa ajili KCMC wameondoka , wamestaafu...msarakambo
1. Prof Shao mwaka 2006 alifukuza kundi la madaktari bingwa waliohoji ukomo wa uongozi wake. Watu hawa wakiwemo Dr Ole, Prof Mlay...walijitolea muda kufundisha chuo cha madaktari na kuiweka KCMC ilipo.
kosa lao ..walihoji uongozi wa Shao kila mmoja ...alisambaratishwa..Mbeya rufaa mradi mabingwa walijikuta wakiwa njiani..

2. Kwa kushirikiana na watiifu wachache amekuwa akijipatia 10% toka kila mradi wa research.

3. TAKUKURU mwaka 2009 walifanya utafiti na kukuta uozo mkubwa katika ulaji wa mishahara ya serikali na forgery ya majina ya watumishi wanaolipwa na serikali. kwa mfano Dr Anna Mushi aliyeondoka siku nyingi KCMC eti hadi 2009 yuko kwenye payroll wengine hata marehemu.

4. Viongozi wa Wizara wanapolalamikiwa wakifika KCMC huzibwa midomo kwa pesa..

5. Viongozi wa kanisa nao wametumbukia kwenye mkumbo hupewa fedha nao hukaa kimya.

6. Wastaafu watumishi wa KCMC karibu wote wanalia na kusaga meno hakuna mfumo wa pensheni zao zimepotea.
7. Mwanae asiyejua kukamilisha sentensi ya kiingereza anapewa cheo cha u head wa IT, jamani muogopeni Mungu.

Prof Shao ni mungu mtu hakuna wa kumgusa si Ask Malasusa wala nani anaendesha KCMC anavyotaka.

Ndugu zangu tuiombee KCMC

Sasa baada ya kashfa ya TAKUKURU 2009...amefukuza madakatari wengine bingwa akiwa na wasiwasi nao...

Hii ndio KCMC ya vitisho, mambo ya giza, ubadhirifu wa pensehni n.k
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom