blackpepper
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 381
- 16
Yes yametimia mwisho wa uongozi wa Kidhalimu wa Prof.Shao umetimia.Yupo nje na Taarifa rasmi Kuna Mkurugenzi Mgeni.Pia taarifa za uhakika hatakiwi hata kule Makumira Universuty.Wadau wenye taarifa zaidi tuzilete.Sasa amebaki dhalimu Mmoja Dr.Mark Swai yeye alitoa notisi alitaka kukimbia na sasa amerudi tena kufuta notisi yake.Siku zote Mungu husikia kilio cha wanyonge...nae ataondoka kwa aibu kama mwenzake