Kuna nini hapo ITV/Radio one? Mbona watangazaji wanahama sana?

mwenyenguvu

Senior Member
Apr 3, 2012
168
51
Kila mara naangalia vyombo vyetu vya habari lakini napatwa na maswali mengi juu ya ITV/Radio One, kampuni hii naweza kusema inaongoza kwa kuhamwa na wafanya kazi wake, sijui tatizo ni nini hebu angalia mfano
Regina Mwalekwa from ITV/Radio one to Clouds int.
Miradi Ayo kaenda clouds
Sebo kaenda channel ten
Salum mkambala juzi tu namwona channel ten
Janet Mwena kwenda clouds
Abdul Mohamed kwenda clouds
Musa wa 'mtaani kwetu'eatv kwenda clouds
Sasa sifahamu tatizo ni nini? Au clouds ni tawi la itv? Au itv hawalipi vizuri au mazingira ya kazi ITV hayapo sawa? Naomba mnijulishe wadau





Sent from Yahoo! Mail on Android
 
Mkurugenzi wa Radio One inasemekana hana elimu, nasikia kaishia STD 7 na elimu nyingine ni ya kujiendeleza tu...nasikia hata ngeli inampiga chenga yaani hawezi kabisaaaa.Kilichompa kazi kwa mara ya kwanza ni uzuri wa sauti yake ambayo inavutia kuisikiliza...
Pili nasikia ni mtu wa majungu sana, haoni shida kumchomea mtu kwa mama(Mhaville)...na hicho ndio kilichompelekea akapandishwa cheo kutoka utangazaji wa michezo, habari na sasa Ukurugenzi.

Kwa upande mwingine ni kiburi cha mama, pia inasemekana huwa hababaishwi na mtu...ikitokea amekuchukia kwa salama yako ni bora ufungashe tu virago maana itakuwa inakula pande yako sana.
 
Sehemu yoyote ukiona turnover ya wafanyakazi ni kubwa kuna mawili.
1- Wanawatrain wafanyakazi wao kwa hali ya juu sana, kiasi kwamba wanakuwa hot cake kwenye soko. Wakati mwingine wanakuwa head-hunted.

2- hawalipwi vizuri ama mazingira ya kazi hayaridhishi (kwa usalama, integrity, comfortability na hata respect)
 
ITV inaongoza, ITV inaonyesha njia, ITV daima.
ITV/Radio one wanalipa vyema. Wachovu ndio wanakimbia. Majembe ya wakati wote bado yapo (Rweyunga, Gamba, Fatma, Kitenge nk)
 
Kila mara naangalia vyombo vyetu vya habari lakini napatwa na maswali mengi juu ya ITV/Radio One, kampuni hii naweza kusema inaongoza kwa kuhamwa na wafanya kazi wake, sijui tatizo ni nini hebu angalia mfano
Regina Mwalekwa from ITV/Radio one to Clouds int.
Miradi Ayo kaenda clouds
Sebo kaenda channel ten
Salum mkambala juzi tu namwona channel ten
Janet Mwena kwenda clouds
Abdul Mohamed kwenda clouds
Musa wa 'mtaani kwetu'eatv kwenda clouds
Sasa sifahamu tatizo ni nini? Au clouds ni tawi la itv? Au itv hawalipi vizuri au mazingira ya kazi ITV hayapo sawa? Naomba mnijulishe wadau




Sent from Yahoo! Mail on Android

Tungempata Misanya Bingi, majibu yangekuwa mujarabu.
 
sidhani kama ni malipo peke yake kwani juzi juzi Mengi aliwatangazia neema
labda mazingira ya kazi hayaridhishi au pia watangazaji hao wanatafuta green pastures,
sio ITV pekee hutokea makampuni yote
 
Mkurugenzi wa Radio One inasemekana hana elimu, nasikia kaishia STD 7 na elimu nyingine ni ya kujiendeleza tu...nasikia hata ngeli inampiga chenga yaani hawezi kabisaaaa.Kilichompa kazi kwa mara ya kwanza ni uzuri wa sauti yake ambayo inavutia kuisikiliza...
Pili nasikia ni mtu wa majungu sana, haoni shida kumchomea mtu kwa mama(Mhaville)...na hicho ndio kilichompelekea akapandishwa cheo kutoka utangazaji wa michezo, habari na sasa Ukurugenzi.

Kwa upande mwingine ni kiburi cha mama, pia inasemekana huwa hababaishwi na mtu...ikitokea amekuchukia kwa salama yako ni bora ufungashe tu virago maana itakuwa inakula pande yako sana.

Hapo penye RED, sioni tatizo kwa mtu alieishia darasa la saba lakini akajiendeleza (maana hastahili kuitwa darasa la saba tena). Labda kama ni tatizo la uongozi mbovu, hata hilo nalo halitatuliwi kwa mtu kuwa na elimu ya juu. Mtu anaweza kuwa na PhD lakini akawa kiongozi hovyo kabisa (do the names Dr Hosea,Chenge, Prof Msolla ring a bell here?)
 
ITV inaongoza, ITV inaonyesha njia, ITV daima.
ITV/Radio one wanalipa vyema. Wachovu ndio wanakimbia. Majembe ya wakati wote bado yapo (Rweyunga, Gamba, Fatma, Kitenge nk)

Kufanya kazi kwenye organisation moja tu miaka nenda miaka rudi nako ni dalili ya kuwepo tatizo ama kwenye taasisi husika au mfanyakazi binafsi.
 
mkurugenzi wa radio one inasemekana hana elimu, nasikia kaishia std 7 na elimu nyingine ni ya kujiendeleza tu...nasikia hata ngeli inampiga chenga yaani hawezi kabisaaaa.kilichompa kazi kwa mara ya kwanza ni uzuri wa sauti yake ambayo inavutia kuisikiliza...
Pili nasikia ni mtu wa majungu sana, haoni shida kumchomea mtu kwa mama(mhaville)...na hicho ndio kilichompelekea akapandishwa cheo kutoka utangazaji wa michezo, habari na sasa ukurugenzi.

Kwa upande mwingine ni kiburi cha mama, pia inasemekana huwa hababaishwi na mtu...ikitokea amekuchukia kwa salama yako ni bora ufungashe tu virago maana itakuwa inakula pande yako sana.

kujiendeleza kielimu ni elimu
 
Maisha ni kutafuta..kufanya kazi sehemu moja huwezi kuwa na mabadiliko...hasa upande wa maslahi na ufanyaji kazi imara..vile vile unajijengea uwezo binafsi..
 
Kila mara naangalia vyombo vyetu vya habari lakini napatwa na maswali mengi juu ya ITV/Radio One, kampuni hii naweza kusema inaongoza kwa kuhamwa na wafanya kazi wake, sijui tatizo ni nini hebu angalia mfano
Regina Mwalekwa from ITV/Radio one to Clouds int.
Miradi Ayo kaenda clouds
Sebo kaenda channel ten
Salum mkambala juzi tu namwona channel ten
Janet Mwena kwenda clouds
Abdul Mohamed kwenda clouds
Musa wa 'mtaani kwetu'eatv kwenda clouds
Sasa sifahamu tatizo ni nini? Au clouds ni tawi la itv? Au itv hawalipi vizuri au mazingira ya kazi ITV hayapo sawa? Naomba mnijulishe wadau




Sent from Yahoo! Mail on Android
Huyo jamaa baada ya kuharibu kipindi kimoja cha malumbano ya hoja kwa kujaza mapolisi ndani ya ukumbi waliofanya vibweka kibao, niliona alipotea kidogo...mara moja moja alikuwa anaonekana kwenye habari za biashara mara ikawa jiiii kabisa kumbe yupo channel ten!
 
Mkurugenzi wa Radio One inasemekana hana elimu, nasikia kaishia STD 7 na elimu nyingine ni ya kujiendeleza tu...nasikia hata ngeli inampiga chenga yaani hawezi kabisaaaa.Kilichompa kazi kwa mara ya kwanza ni uzuri wa sauti yake ambayo inavutia kuisikiliza...
Pili nasikia ni mtu wa majungu sana, haoni shida kumchomea mtu kwa mama(Mhaville)...na hicho ndio kilichompelekea akapandishwa cheo kutoka utangazaji wa michezo, habari na sasa Ukurugenzi.

Kwa upande mwingine ni kiburi cha mama, pia inasemekana huwa hababaishwi na mtu...ikitokea amekuchukia kwa salama yako ni bora ufungashe tu virago maana itakuwa inakula pande yako sana.

mmmmhhhh kama kweli basi wanayo kazi!!!
kwa staili hii wanashusha ufanisi wa kazi.
 
Ndivyo ilivyo...ukitaka kujua uhondo wa ngoma uingie na uicheze...yote kwa yote hakuna palipo pazuri/pabaya ktk ajira yeyote ile, ila changamoto ndizo zinazotofautiana ndio silka yetu wana-wa -Adamu.
 
Mkurugenzi wa Radio One inasemekana hana elimu, nasikia kaishia STD 7 na elimu nyingine ni ya kujiendeleza tu...nasikia hata ngeli inampiga chenga yaani hawezi kabisaaaa.Kilichompa kazi kwa mara ya kwanza ni uzuri wa sauti yake ambayo inavutia kuisikiliza...
Pili nasikia ni mtu wa majungu sana, haoni shida kumchomea mtu kwa mama(Mhaville)...na hicho ndio kilichompelekea akapandishwa cheo kutoka utangazaji wa michezo, habari na sasa Ukurugenzi.

Kwa upande mwingine ni kiburi cha mama, pia inasemekana huwa hababaishwi na mtu...ikitokea amekuchukia kwa salama yako ni bora ufungashe tu virago maana itakuwa inakula pande yako sana.

huyu mkurugenzi sio mtoto wa mhavile yule alikuwaga mkuu wa mkoa .na fisadi fulani wa enzi hizo ??
 
Back
Top Bottom