mwenyenguvu
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 168
- 51
Kila mara naangalia vyombo vyetu vya habari lakini napatwa na maswali mengi juu ya ITV/Radio One, kampuni hii naweza kusema inaongoza kwa kuhamwa na wafanya kazi wake, sijui tatizo ni nini hebu angalia mfano
Regina Mwalekwa from ITV/Radio one to Clouds int.
Miradi Ayo kaenda clouds
Sebo kaenda channel ten
Salum mkambala juzi tu namwona channel ten
Janet Mwena kwenda clouds
Abdul Mohamed kwenda clouds
Musa wa 'mtaani kwetu'eatv kwenda clouds
Sasa sifahamu tatizo ni nini? Au clouds ni tawi la itv? Au itv hawalipi vizuri au mazingira ya kazi ITV hayapo sawa? Naomba mnijulishe wadau
Sent from Yahoo! Mail on Android
Regina Mwalekwa from ITV/Radio one to Clouds int.
Miradi Ayo kaenda clouds
Sebo kaenda channel ten
Salum mkambala juzi tu namwona channel ten
Janet Mwena kwenda clouds
Abdul Mohamed kwenda clouds
Musa wa 'mtaani kwetu'eatv kwenda clouds
Sasa sifahamu tatizo ni nini? Au clouds ni tawi la itv? Au itv hawalipi vizuri au mazingira ya kazi ITV hayapo sawa? Naomba mnijulishe wadau
Sent from Yahoo! Mail on Android