Kuna mwenye habari kuhusu maendeleo ya afya ya diamond?

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Nauliza tu wakuu kwa maana nimeona leo kwenye gazeti flani kwamba aliugua ghafla na akalazwa.
 
anaendelea vizuri,anasema baada ya kuumwa sana kifua ikabidi apime ngoma maana alikuwa na wasiwasi nayo,lakin ajataja majibu,ila anaendelea vizuri baada ya kupata matibabu ya kifua yaliyotokana na kufanya kaz sana bila kumpumzika,hivo usijali mkuu
 
mimi sichezi karata
Naogopa kuolewa
Na nkiramba Garasa
Watu watanizomea...X2
 
Back
Top Bottom