anaendelea vizuri,anasema baada ya kuumwa sana kifua ikabidi apime ngoma maana alikuwa na wasiwasi nayo,lakin ajataja majibu,ila anaendelea vizuri baada ya kupata matibabu ya kifua yaliyotokana na kufanya kaz sana bila kumpumzika,hivo usijali mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.