chrisnyoni
Member
- Jan 11, 2012
- 21
- 1
Wadau naombeni msaada nna msichana anatishia kujiua mara kwa mara kila tukitaka kuachana alishatishia mara ya kwanza ikabidi tuludiane coz naogopa. sasa shreia itanilindaje endapo atajiua na ataacha ujumbe kuwa amejiua kwasababi ya mimi. au nifanyaje jamani nisiingie hatianii. pliz najuta