Kuna mtu amesikia hki kitu leo kuhusu heslb?

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Eti kuna msela kaniambia magic fm wametangaza kuwa heslb wametangaza kwenye taarifa yao ya habari ya saa 10 jioni kuwa heslb wametoa majina ya waliopata mkopo,na jumla ya waliopata ni 29000 kati ya 33000 walioomba.kuna mwingne ameckia hii kitu wakuu?
 
bado hawajatoa majina tuendelee kusubiri ila kwa hiyo idadi vyuo viwili tu vinatosha.
 
Back
Top Bottom