nimepita muda wa saa 12 na nusu asubuhi hii eneo la karibu na tabata bima kuna mtu amegongwa na amelala chini na wamemfunika nguo.
Bodaboda na watu wamezuia barabara na magari yanazunguka kidogo ili kupita hapo.
Hali ya aliyegongwa sijaweza ifahamu ila kulikuwa na damu katikati ya barabara.
Mwenye taarifa zaidi aijuze jamii.
Bodaboda na watu wamezuia barabara na magari yanazunguka kidogo ili kupita hapo.
Hali ya aliyegongwa sijaweza ifahamu ila kulikuwa na damu katikati ya barabara.
Mwenye taarifa zaidi aijuze jamii.