Kuna mkakati wowote wakurudisha twiga waliotoroshwa?

wanajf kama kuna mtu ana habari za kinachoendelea kuhusu urejeshwaji wa wanyama waliotoroshwa maana isije kuwa makelele ya bungeni ndio mwisho! kama walitoroshwa kimagendo najua hata sheria za kimataifa zitakuwa upande wetu

Yaani mie hiki kitu kinanishangaza sana. Serikali inadai wanyamwa waliibwa na kupelekwa kule Dubai na hivi karibuni kuna wengine walipelekwa Pakistan. Kinachonistaajabisha ni kuona hii Serikali ikiwa kimya kabisa kuhusiana na juhudi zinazofanywa kuhakikisha hawa Wanyama waliopekwa huko kiharamu wanarudishwa nchini haraka iwezekanavyo. Kote huko tuna mabalozi wetu.
 
Subutu! Walishakwenda na maji na wajanja wameshaweka vyao mifukoni.

Mkuu Jasusi hii ni Serikali iliyobweteka lakini kama ingekuwa ni Serikali makini basi hao wanyama wote wangekuwa wamesharudishwa nchini au kungekuwa na juhudi za wazi kabisa za kuwarudisha wanyama hao nchini.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli inasikitisha sana!
Tuna jeshi,polisi,usalama wa taifa na vitengo vingine vya siri lakini tunashindwa linda maliasili zetu!
Shame on you jk mobb!
 
Walitoroshwa au waliuzwa? Albert Einsten aliwahi kusema you can't solve the problem at the same level the problem was created. Unafikiri Zambia walikuwa wajinga?
 
Maige,maige,maige,maige,mbona inaonekana unahusika .SASA NJOO UJITETE HAPA JF KULIKOKULILIA KWENYE VYOMBO VYA HABARI.
 
Mkuu Jasusi hii ni Serikali iliyobweteka lakini kama ingekuwa ni Serikali makini basi hao wanyama wote wangekuwa wamesharudishwa nchini au kungekuwa na juhudi za wazi kabisa za kuwarudisha wanyama hao nchini.
BAK,
Ninavyosikia kuna mkono wa mkulu hapo. Ngoja kuna siku Maige atafunguka.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
BAK,
Ninavyosikia kuna mkono wa mkulu hapo. Ngoja kuna siku Maige atafunguka.

Aaamue kufunguka mapema siyo kusubiri hadi baada ya uchaguzi Mkuu wa 2015...kwa jinsi alivyoanza kubwabwaja kwenye vyombo vya habari na kule FB anaonekana ana neno zito sana.
 
wanajf kama kuna mtu ana habari za kinachoendelea kuhusu urejeshwaji wa wanyama waliotoroshwa maana isije kuwa makelele ya bungeni ndio mwisho! kama walitoroshwa kimagendo najua hata sheria za kimataifa zitakuwa upande wetu
Nina Mashaka na hili mkuu. Hawa Twiga watakuwa wameshazoea kula mikate na salad Huko Uarabuni. Leo uwarudishe huku kwetu sidhani hata kama hao Twiga wenyewe watakubali kurudi katika nchii hii iliyojaa mauzauza kila kukicha. Simba watoto wanasafirishwa kwenye makaratasi inasema ni vitoto vya paka.....Aisee Bongo hatari!!!!!!!
 
Ndugu Red ebu soma hapa

The government's search for the whereabouts of 116 live wild animals and 16 birds alleged to have been smuggled out of the country in November 2010 is gaining momentum as a team of government officials is set to visit Qatar, in the United Arab Emirates, for the purpose.

The team's mission is to establish where the animals are being kept and propose measures to be taken to ensure the animals are returned to the country.

This development comes following Tanzania's receipt of a response from the Qatari office of the Convention on International Trade in Endangered Species (CITES) which confirmed that the said 116 animals and birds were indeed in the emirate. Both Tanzania and Qatar have signed and ratified the convention, which has been in place since 1975.

Minister for Natural Resources and Tourism Khamis Kagasheki told The Guardian on Sunday in an exclusive interview that the team would be made up of officials from different government departments.

"It will be a multisectoral team incorporating people from the ministry of Natural Resources and Tourism, the Attorney General's Chambers and Tanzania Intelligence and Security Services (TISS)" noted the newly-appointed minister.


Guardian la leo
 
Back
Top Bottom