Mkuu MAONO yangu ni kwamba CDM haikati rufaa hasa ikiwa Lema amepigwa ban. Kuna tetesi kuwa uongozi wa juu wa CDM hauko comfortable na Lema hivyo hii ni nafasi yao ya kumweka nje japokuwa watu wa Arusha hasa vijana wako vizuri tu na Lema. Kada ya kati na juu ya watu wa Arusha pia hawako comfortable na Lema. Nina Maono kwamba hatakata rufaa bali wataingia kwenye uchaguzi na kumsimamisha mtu mwingine hivyo watakuwa wamefanikiwa kumweka kando Lema na wao kuwa comfortable. Hayo ni maono yangu kutokana na uchunguzi wangu.Tuna mweka mpambanaji mwengine lema atatumika kwenye M4C
Hukumu ya maandishi imeishatoka?Nikweli hukumu hiyo inautata kwa kutaja vifungu vyote viwili, kwahiyo wanasheria wa CDM wawe makini kupitia hukumu hiyo. hata hivyo hata mimi nikisimamishwa kugombea nitashinda
Wapi live mkuu. mimi nimesikia matokeo hayo TBC1setif 1 simba 0,nyosso red card
Naona umesema kujaribu. Lakini mkuu wanaweza wakakata rufaa kisha Majaji wa Rufaa wakakazia hukumu.Ninaunga mkono hoja ya CDM kukata RUFAA. Kwanza watauthibitishia umma wa Watanzania kuwa wanajali sana kuhusu gharama kubwa za kuendesha chaguzi ndogo - pesa ambayo ingeweza kuelekezwa kuboresha huduma za kijamii kama vile kuwanunulia watoto wetu madawati ya kutosha ili wasipinde migongo wapkingali makinda. CDM chukua njia ya kukata rufaa kwanza, uchaguzi mdogo uje baada ya kujaribu hiyo.:suspicious:
Kwenye red hapo unaonyesha kashfa kwa waarusha! yale yale ya maruhani pemba!
Naona umesema kujaribu. Lakini mkuu wanaweza wakakata rufaa kisha Majaji wa Rufaa wakakazia hukumu.
Simba amepigwa goli la 3 na juma nyoso ana red 70 mnts.
Ukweli mtupuEfforts wanazotumia CCM kupambana na CDM zingelitumika pia ktk maendeleo ya nchi tungekuwa mbali sana!