barach pwm
Member
- Sep 2, 2012
- 43
- 5
Ndugu napenda niulize kwa wenye ufahamu kuhusu hili,.
Hivi kuna matumaini yoyote ya kupata mkopo kwa wanafunzi waliosomea masomo ya biashara na arts yaani EGM,HGE.ECA na HGL,HKL,HGK,KLF.
Nimependa niulize kwani sera ya serikali kuzingatia vigezo vya waliosoma science vinatutisha sisi ambao tunaosoma masomo hayo kwa advanced level.
Wenye ujuzi huo mtujuze wakubwa.
Hivi kuna matumaini yoyote ya kupata mkopo kwa wanafunzi waliosomea masomo ya biashara na arts yaani EGM,HGE.ECA na HGL,HKL,HGK,KLF.
Nimependa niulize kwani sera ya serikali kuzingatia vigezo vya waliosoma science vinatutisha sisi ambao tunaosoma masomo hayo kwa advanced level.
Wenye ujuzi huo mtujuze wakubwa.