Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,314
- 33,108
Karma inawahusu..ila kama mguu wa nne sio wake
Wahindi makatili sana! Huwezi fanya ukatili kama huo kwa mmnyama!
Kwa asili binadamu tupo wakatili sana.Wahindi makatili sana! Huwezi fanya ukatili kama huo kwa mmnyama!
Perfect! umesema kitu ambacho huwa nakifikiria ndiyo maana mimi hata kuku siwezi kumchinja na huwa sitazami kabisa. Think of Nguruwe anavyopigwaga shoka utosini eti ndio kumchinja.Kwa asili binadamu tupo wakatili sana.
Kila siku watu tunakula nyama...iwe za ng'ombe, mbuzi, nguruwe na kadhalika.
Na tunasifia utamu wake. Lakini huwa hatujiulizi hizo nyama zimepatikanaje.
Tunawaua wanyama ili tuwale. Tena tunawaua kikatili mno.
Yule dada wa bilionea wa Arusha alivyochinjwa karibu wote tuliulaani huo ukatili. Ikija kwa wanyama wala hatustuki.
Ushaona Wachaga na ndafu zao? Unakuta mbuzi aliyechunwa anachomwa bila hata kukatwa vipande.
Hata wanyama nao wanapenda kuishi. Ila kwa ukatili wetu huwa tunawakatisha maisha.
Tuko makatili sana sisi.
Wahindi je ni kama mila zao wasifanye? kama ni picha ya kutengeneza?Wahindi makatili sana! Huwezi fanya ukatili kama huo kwa mmnyama!
Perfect, mila zingine zisizofaa tunaziacha. In this modern world huwezi fanya kitendo kama hicho. Ndio maana UKEKETAJI UNAPIGWA VITA!Wahindi je ni kama mila zao wasifanye? kama ni picha ya kutengeneza?
Perfect! umesema kitu ambacho huwa nakifikiria ndiyo maana mimi hata kuku siwezi kumchinja na huwa sitazami kabisa. Think of Nguruwe anavyopigwaga shoka utosini eti ndio kumchinja.
BY THE WAY, NYANI UNANIKUMBUKA, KUMBE KAMA SIYO SIASA PEOPLE CAN THINK DEEP, SIASA INATU-CORRUPT SANA. JUZI ULITOA UZI KUHUSIANA NA KUSITISHA MAANDAMANO , ULISHAMBULIWA SANA KUONYESHA LOW THINKING CAPACITY, LEO KWA HILI AMBALO SIO LA SIASA YOU SEEM TO BE OK. KUMBUKA NILIKUSIFIA KAMA ONE OF THE PHILOSOPHERS IN JF
Ndio maana mie ni muumini wa dini ya MARASTA hatuli nyama wa maziwa wala samaki kwa kuzingatia hayo uliyosema Nyani NgabuKwa asili binadamu tupo wakatili sana.
Kila siku watu tunakula nyama...iwe za ng'ombe, mbuzi, nguruwe na kadhalika.
Na tunasifia utamu wake. Lakini huwa hatujiulizi hizo nyama zimepatikanaje.
Tunawaua wanyama ili tuwale. Tena tunawaua kikatili mno.
Yule dada wa bilionea wa Arusha alivyochinjwa karibu wote tuliulaani huo ukatili. Ikija kwa wanyama wala hatustuki.
Ushaona Wachaga na ndafu zao? Unakuta mbuzi aliyechunwa anachomwa bila hata kukatwa vipande.
Hata wanyama nao wanapenda kuishi. Ila kwa ukatili wetu huwa tunawakatisha maisha.
Tuko makatili sana sisi.
Kumbe unanikumbuka. Nilikula ban ya name calling! Ukila ban unafungua ID nyingine to keep alive with JF. Kuna jamaa yangu aliachana na JF baada ya kuona JF pamekuwa mahali pa malumbano ya CCM na UKAWA, I am tending in that direction!!For real?
Kumbe ilikuwa ni wewe. Sasa ilikuwaje ukaja na ile ID? Ulilamba ban nini?
Usijali sana kuhusu hayo mambo ya siasa.
I appreciate the respect and just know that it's mutual.
One love!
hongera kwa kushindwa kuchinja kuku.Perfect! umesema kitu ambacho huwa nakifikiria ndiyo maana mimi hata kuku siwezi kumchinja na huwa sitazami kabisa. Think of Nguruwe anavyopigwaga shoka utosini eti ndio kumchinja.
BY THE WAY, NYANI UNANIKUMBUKA, KUMBE KAMA SIYO SIASA PEOPLE CAN THINK DEEP, SIASA INATU-CORRUPT SANA. JUZI ULITOA UZI KUHUSIANA NA KUSITISHA MAANDAMANO , ULISHAMBULIWA SANA KUONYESHA LOW THINKING CAPACITY, LEO KWA HILI AMBALO SIO LA SIASA YOU SEEM TO BE OK. KUMBUKA NILIKUSIFIA KAMA ONE OF THE PHILOSOPHERS IN JF
kweli na ndomana sasa TUNAPINGA CIRCUMCISION!Perfect, mila zingine zisizofaa tunaziacha. In this modern world huwezi fanya kitendo kama hicho. Ndio maana UKEKETAJI UNAPIGWA VITA!
Sijasema high! Soma vizuri post yanguhongera kwa kushindwa kula kuku.
one thing, yeyote asiyeona umuhimu wa kusitisha maandamano ya amani ya Jana yaliyotishiwa na serikali hii ya kidikteta ana matatizo. sijui hiyo high thinking capacity umepimaje.