Wana JF
Hivi majuzi waziri wa fedha akisoma budget alitaarifu kuwa posho zitakazolipwa wafanyakazi wa serikali hazitakatwa kodi. Pamoja na ukweli kwamba hazijawahi kukatwa kodi je kuna sababu gani ya kumkinga mfanyakazi wa serikali na baadhi ya kodi? Je hao walioko serikalini ndio wazalendo zaidi kuliko sisi? Ufisadi wa aina hii umekuwepo kwa mda mrefu kwa mfano kodi ya gari anayolipa mtumishi wa serikali ni kidogo kuliko ninayolipa mimi. Kwa nini kuna set up kama hizi bado sielewi? Kwa nini serikali iwe na uchungu na kisection fulani tu cha watu wake (walioko serikalini )je hawa wengine si wananchi? Kwani hizo posho wanazipata wapi si ni kodi zetu sisi tunaolipa kodi? kwa nini wao wasilipe? Je uzalendo ni kulipa kodi au kutolipa kodi? Je Rais analipa kodi na kama halipi ni kwa nini? Na kama hawa wote hawalipi kodi kwa nini tunasumbuka kujiuliza tutapanua vipi wigo wa kodi? Au nyie wana JF mnalionaje hili?
Hivi majuzi waziri wa fedha akisoma budget alitaarifu kuwa posho zitakazolipwa wafanyakazi wa serikali hazitakatwa kodi. Pamoja na ukweli kwamba hazijawahi kukatwa kodi je kuna sababu gani ya kumkinga mfanyakazi wa serikali na baadhi ya kodi? Je hao walioko serikalini ndio wazalendo zaidi kuliko sisi? Ufisadi wa aina hii umekuwepo kwa mda mrefu kwa mfano kodi ya gari anayolipa mtumishi wa serikali ni kidogo kuliko ninayolipa mimi. Kwa nini kuna set up kama hizi bado sielewi? Kwa nini serikali iwe na uchungu na kisection fulani tu cha watu wake (walioko serikalini )je hawa wengine si wananchi? Kwani hizo posho wanazipata wapi si ni kodi zetu sisi tunaolipa kodi? kwa nini wao wasilipe? Je uzalendo ni kulipa kodi au kutolipa kodi? Je Rais analipa kodi na kama halipi ni kwa nini? Na kama hawa wote hawalipi kodi kwa nini tunasumbuka kujiuliza tutapanua vipi wigo wa kodi? Au nyie wana JF mnalionaje hili?