BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
Last edited by a moderator:
Yani dia tulikuwa tunabishana jana kuhusu kutokufanya sex alafu leo umeyaleta huku? kweli unapenda sex, kumbe ulivyokubali ilikuwa kwa shingo upande tu eeeh
Ndugu nilikuwa naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa watu kupendana kwa dhati kimapenzi bila kuenjoy sex?
Nimekuitika LD unasemaje?
Mapenzi bila sex yanawezekana..
Ila to me mapenzi bila pesa hayawezekani..#nawaza tu#
Mapenzi bila sex yanawezekana..
Ila to me mapenzi bila pesa hayawezekani..#nawaza tu#
Tafsiri ya ODM ambayo ntaisimamia mpaka CCM itoke madarakani:Nimesema hivi, hebu tutofautishie, kati ya Mapendo, Mapenzi na (Mapenzi ngono, sex, sijui tendo la ndoa). Mambo kama hayo. Unajua babu kuna mtu mi naweza jisemea nampenda naweza nisitamani hata kufanya sex naye, lakini najisemea nampenda..hebu ka umenielewa utunge mandishi yenye maelezo uweke hapo tuyajadili Asprin
Very possible ingawa swali lako ni pana sana kulijibu.
Moja; Kuna uwezekano ukawa na rafiki yako mpenzi na mkapendana na kushirikiana sana hata bila kudo. Lakini kwa urafiki wa namna hii, mara nyingi ipo siku watu huteleza na kujikuta wakido kama hawatakuwa makini kusimamia msimamo wao wa mwanzo. Ni vyema pia kujiuliza sababu za kuwa na mpenzi wa bila kudo ili kutoipelekea nafsi yako ikae kwenye hali ya dhiki na tamaa!
Mbili; Unaweza kuwa na rafiki yako mpenzi, lakini huyu anakuwa treated kama rafiki mkubwa. Hawa ni wale watu ambao inawezekana unafanya nao kazi ofisini, biashara, majirani na kusaidiana ktk mambo tofauti tofauti ya kimaisha. Mapenzi ya namna hii, kudo huwa ni NO!
Tatu: Wapo pia wale ambao mnakutana kupitia seminars, workshops, safari, mitandano ya kijamii, matukioa mbali mbali, simu, nk na kujikuta mnajenga urafiki mpaka mnakuwa wapenzi. Ktk uhusiano wa namna hii, Ku-Do huwa ni option!
Mie nimekuelewa. sasa kwanini uite hayo mahusiano
wapenzi badala ya marafiki ambayo hasa ndio?
Tafsiri ya ODM ambayo ntaisimamia mpaka CCM itoke madarakani:
Mapendo: Ni yale ya agape. Kwamba upendo huvumilia yote, hauhesabu mabaya, hauchuji....... yaani kudadadeki upendo huwa hauna mwisho ni permanent. Unaweza kumpenda mkeo, mtoto wako, babu yako bibi yako, jirani yako, adui yako etc. Upendo hauna formula unakuja automatically. Mapendo hayana uhusiano wowote na ngono.
Mapenzi: Hii nazungumzia yale ya ukweli yasiyo ya kisanii. Yanahusisha watu wawili wa jinsia tofauti. Mapenzi yana vigezo, yanachuja, yana uwezekano wa ku-expire. Mapenzi yanahusisha mara nyingine makubaliano na mikataba..... Yaani kwa ufupi mapenzi yana uhusiano na ngono.
Niko kaunta ya chini leo, nimeshindwa kupanda ngazi.hoto: Umenielewa mshiki LD ?
Kabisa. . .jaribu na mimi utaona.
mhh!,ukiwa na hamu unafanyaje?
Mie npo na mpenzi wangu tupo katika hyo hali,mwanzoni kbsa kipndi tunakubaliana,ilikua vigum sana kwangu ckujua kama ntaweza,lakin sa hvi naona kawaida inafikia kipindi mwnzangu anakua ktk hali ya ku do ila nampotezeaga tu kwa sabbu idea ni ya kwake,ni almost mwezi wa 9 tuko poa tu,ila hakuna rafikiangu hata moja nliwai kumwambia kitu hki nahic ntachekwa.