JAMANI WANA JAMVINI MBONA MNAKUWA KAMA MAKAMBA AMBAE ALISHA ACHA KUTUMIA UBONGO WAKE SIKU NYINGI!? Coz lazima tujiulize haya maswali kwani huenda kuna madhara.
jamni msimshambulie kwani kauliza na kama hakuna jibu lets stay quite
mwaya mpendwa mimi sijawahi sikia madhara ila uchovu nadhani unaweza kuwa mkubwa na kama utakuwa
employee som where perfomamce ya kazi itashuka na usingizi mwingi mda wa mchana kitu ambacho si kizuri
kwa ushauri fanya mara nne kwa wiki mostly during weekend
duh hapo kaaazi kweli kweli kwa mwanaume unaweza kuenjoy ila kwa mwanamke itakuwa kama yupo kazini au kwenye adhabu .
lakini mwanaume pia utapauka vinginevyo ule msosi kama kuli LOL
Tatizo naloona ni pale wewe peke yako uwe unajisikia kila siku wakati mwenzio sometimes hayuko kwenye mood. Too much of anything is harmful. Sina maana ya kiafya ila utaishia kumbaka mkeo/mumeo/girlfriend/boyfriend. Au ndo utatafuta wa pembeni.
nimewahi kuuliza humu JF kama ratiba ya kufanya mapenzi nikaambiwa ratiba itajipanga yenyewe.
nadhani ndoa yako ni changa ndio maana unafanya kila siku baada ya muda ratiba itajipanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.