Hii imenikumbusha mwaka jana, Yaaaani
ntakutafutaafadhari mm niliamua kuwa JF pekee, sidhani kama nitakuwepo huko!
Siku hizi hiyo ya video calling imeingiliwa na mabazazi. Juzi nilisoma msichana mmoja wa umri mdogo aliyedanganywa kwa kuwekewa video iliyorekodiwa kabla kidume cha umri wake kumbe ni mzee wa +50. Yalofuatia, msichana alikwenda kuchukua PF3 na kesi iko mahakamani.
Fesbuk ni noma, nilimtongoza demu mpaka kaingia line. Lakini siku nilipomwona kwa macho nilitamani ardhi ipasuke. Mpaka namba yake niliifuta. Wanawake wengi waongo hawaweki image yao original.
wapo mpaka mashoga ni juhudi zamhusika tu kuchagua
Karibu pm baby
PM kwa gharama za nani
Kila mtu Atajigharamia kwa pesa yake