Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,148
Ndugu si ulishatuaga hapa?
Alikua anatikisa kibiriti...
Ndugu si ulishatuaga hapa?
Fesbuk ni noma, nilimtongoza demu mpaka kaingia line. Lakini siku nilipomwona kwa macho nilitamani ardhi ipasuke. Mpaka namba yake niliifuta. Wanawake wengi waongo hawaweki image yao original.
We unataka Punda au mlio wa Punda ?
thats why i hate online dating.....
Siku hizi hiyo ya video calling imeingiliwa na mabazazi. Juzi nilisoma msichana mmoja wa umri mdogo aliyedanganywa kwa kuwekewa video iliyorekodiwa kabla kidume cha umri wake kumbe ni mzee wa +50. Yalofuatia, msichana alikwenda kuchukua PF3 na kesi iko mahakamani.Online dating ya ukweli, ila sio utumie only picture sharing, you should go further for Video calling if possible ili umuone mwenyewe kabsaaaaa...) Mi nipo kwenye harakati za harusi na mke wangu mtarajiwa nimempata FB. So siwezi sema online dating mbaya.
Jamaa kaniuliza:Nasikia kuna mademu wanajiuza?Nikamjibu,Sijui kwa sababu mimi siko kuvamia mademu facebook akasema kweli wewe muaminifu warembo wote hujaopoa hata mmoja?Nikamjibu usibabaike na picha kutana nao uone utaomba simu izime ghafla,maana nikituko!!ila yote kwa yote ni msimamo ndio kila kitu,Mx
Hata vijanaume vinavyojiuza vipo kule!
We umeona picha ya mdada,kisa mrembo unaanza mara kumuomba urafiki,namba ya simu mara muonane.
Kisa profile yake inaonesha yupo vizuri.
Yaani unakuta kivulana kinababaika kumwaga uongo.
Kajiuze na ww,Mx
Siku hizi hiyo ya video calling imeingiliwa na mabazazi. Juzi nilisoma msichana mmoja wa umri mdogo aliyedanganywa kwa kuwekewa video iliyorekodiwa kabla kidume cha umri wake kumbe ni mzee wa +50. Yalofuatia, msichana alikwenda kuchukua PF3 na kesi iko mahakamani.
Wewe si juzi hapa tu ulisema umiechoka JF, ulikwa unatafuta utaratbu jinsi ya kufuta ID yako ndani ya JF, bado upo?. Unasubiri nini?.