Hivi,; ni mkataba upi ulimpa sultani wa z'bar maili 6 kutoka mstari wa pwani? Na je; huo mpaka ndio tunaouzingatia au nivipi. Hebu nijuzeni kidogo nielewe T'nyika na Z'bar inapoishia kimipaka!
Kuna sheria za kimataifa kuhusu mipaka ya bahari amboye Joseph Warioba kuna wakati alikuwa raisi wa Sea Convention duniani, ambayo kwa ninavyo kumbuka ni maili 200 toka mpaka wa kila nchi, sasa sijui pemba to tanga ni mile ngapi au Zanzibar to Bagamoyo/
Dar ni mile ngapi na ikiwa hizo mile ni pungufu ya 200 inakuwaje ? pari pasu? yaani nusu bin nusu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.