Kuna kila dalili CDM, CUF na NCCR kuungana kuhusu Katiba

Luteni

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
2,274
301
Kwa kadri nilivyowasikia wawakilishi wa hivyo vyama vikuu vya upinzani inanipa hamasa kuwa kuna siku suala la katiba mpya kuwaunganisha who knows.

Mtatiro wa CUF- ikibidi kuchimbika patachimbika
Marando wa CDM- wananchi tuukatae huu muswada kabla haujawa sheria
Mvungi wa NCCR- nimeongea na Slaa tuone uwezekano wa kuupinga huu muswada
Mbowe wa CDM- kama bunge litaupitisha kama ulivyo tutarudi kwa wananchi

Kwa haya machache inaonyesha kabisa uwezekano wa hivi vyama kuwa na sauti moja huko mbeleni.
 
Kwa kadri nilivyowasikia wawakilishi wa hivyo vyama vikuu vya upinzani inanipa hamasa kuwa kuna siku suala la katiba mpya kuwaunganisha who knows.

Mtatiro wa CUF- ikibidi kuchimbika patachimbika
Marando wa CDM- wananchi tuukatae huu muswada kabla haujawa sheria
Mvungi wa NCCR- nimeongea na Slaa tuone uwezekano wa kuupinga huu muswada
Mbowe wa CDM- kama bunge litaupitisha kama ulivyo tutarudi kwa wananchi

Kwa haya machache inaonyesha kabisa uwezekano wa hivi vyama kuwa na sauti moja huko mbeleni.


Sawa mkuu lakini wakati huo Mrema wa NCCR Atakuwa wapi? na Mbatia wa NCCR naye atakuwa amelala?
 
Sawa mkuu lakini wakati huo Mrema wa NCCR Atakuwa wapi? na Mbatia wa NCCR naye atakuwa amelala?
Kuna wakati hata ma-opportunist huwa wanaona aibu, kwa suala hili wanaweza kujiaibisha milele na kizazi kijacho kikaja wahukumu.
 
hoja za msingi ndo zitatuunganisha sote .sauti ya wengi..mwenye hira ndo atapinga
 
Back
Top Bottom