msaragambo
Senior Member
- Aug 6, 2008
- 127
- 17
Leo asubuhi kuna kundi la askari wengi wa kutuliza ghasia wakiwa wamevalia mavazi rasmi tayari kwa mapambano,pia wameongozana na gari la upupu
Askari wametawanyika kila sehemu,haijulikani kuna tatizo gani maana hali ni swari na hakuna dalili ya fujo kila mtu yupo katika harakati zake za kawaida za maisha
Chakushangaza ni kwamba hawa askari wamekuja saa ngapi na kwanini wakati hakuna fujo wala dalili ya kuvunjika kwa amani kulikoshindikana kuwahitaji FFU
Watu wanaendelea na shughuli zao za kila siku na wasitake kutuletea balaa hawa hawana kazi?
Askari wametawanyika kila sehemu,haijulikani kuna tatizo gani maana hali ni swari na hakuna dalili ya fujo kila mtu yupo katika harakati zake za kawaida za maisha
Chakushangaza ni kwamba hawa askari wamekuja saa ngapi na kwanini wakati hakuna fujo wala dalili ya kuvunjika kwa amani kulikoshindikana kuwahitaji FFU
Watu wanaendelea na shughuli zao za kila siku na wasitake kutuletea balaa hawa hawana kazi?