Kuna hela ya MEREMETA inataka kupelekwa nje ya nchi kinyemela!

NasDaz haiwezekani wote tukawa na msimamo ''unaofanana''.Hii forum si chama cha siasa.

Mkuu apolycaripto, hata mimi nalifahamu hilo pasi na shaka yoyote kwani hata huko kwenye vyama vya siasa watu wana misimamo inayotofautiana!! Na ndio maana, hadi leo hii hamna hata dini moja miongoni mwa zile zenye vitabu ambazo zina dhehebu moja pekee! Kwamba hata kwenye mambo ya mungu watu ni full kutofautiana!
 
" tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno" seith chachage. mungu amlaze mahali pema peponi - amina
 
Derimto i,aonyesha ni jinsi gani ulivyo kipofu au mlevi wa kufikiri hakuna taarifa isiyokuwa na source,ikiwa hivyo basi ni ya kutunga.Hatuwezi kuwa vampire kwa kudaka kila kinachorushwa.Wote tukiwa na akili kama zako hatutarajii kutoa njia ya kutatua kwani hakuna haki isiyo na sheria.Tambua no evidence no right to speak katika ''court''.

Hatuna njia nyingine ya kuwahukumu hawa zaidi ya sheria,hivyo tukiwa wanajanvi kila mtu anafani yake.Tambua hatuko kusoma tu hapa na kupata cha kuchagiza kwenye vijiwe vya kahawa ''hapana'',wengine tunayafanyia kazi yanayojitokeza kulingana na uzito wake.

Nakushauri jaribu kubadilika na kuwamtekelezaji zaidi ya msomaji tu kwani uzalendo wako haujengwi hivyo ila ni ishara ya grapevines.Huwezi kuongelea habari ambayo inahitaji maamuzi huku huna taarifa za kutosha,lazima tu itaishia kapuni ama mtaani tu kama ''vapour gossip''.Pia tujenge mazingira ya kuisaidia jamii kwa kwenda mbali zaidi(huu ndio uzalendo) si tu kuishia kusoma na kulalama hapa.

Otherwise sipingi ''tetesi''ila nachukia tetesi zinazokuja na kuishia hewani bila mtoa hoja kutuambia kwa nini zimepotea kama ilivyotokea kwa ''Shimbo''.Jamani trillion tatu ni fedha nyingi,haiwezekani habari yake kupotea kienyeji hivi hivi tu.Je!tukisema hawa waleta tetesi huwa wanaongwa kuzipotezesha bila shaka hizi nazo zitakuwa ''tetesi'' kutokana na kutokuwa na ushahidi.Tuwe makini si vyote ving'aavyo ni dhahabu.
 
Good comment Derimto! Ni jukumu letu pia kujazia ushahidi pale ulipopungua na kuchukua hatua inapobidi, na si blame game and finger pointing.
 
Apolycaripto umeambiwa hii ni tetesi na akipata taarifa zaidi atatujuza, we umekomaa tuu kuipondea. Au nawe ni fisadi hutaki mkiguswa? Tetesi maana yake inasemwa ila bado kudhihiri unataka nini wewe?
 
Swala la grand-corruption ndani ya JWTZ halina ubishi. Kitu ambacho hakijaptikana (walau hapa Jamvini) ni kielelezo/vielelezo vya 'how much'. Na mambo yatajulikana tu kwani hata idea ya kuchunguzwa kwa Meremeta ilipingwa vikali na Waziri Mkuu Pinda lakini sasa Bunge limeridhia Meremeta ichunguzwe. Za mwizi 40.
 
hii serikali inabidi iangushwe tu kabla ya 2015
rushwa.jpg
 
Jamani kesho nitawapa kinachoendelea,sikukuu ya leo imeingilia mambo ila kesho nitafatilia
 
Derimto i,aonyesha ni jinsi gani ulivyo kipofu au mlevi wa kufikiri hakuna taarifa isiyokuwa na source,ikiwa hivyo basi ni ya kutunga.Hatuwezi kuwa vampire kwa kudaka kila kinachorushwa.Wote tukiwa na akili kama zako hatutarajii kutoa njia ya kutatua kwani hakuna haki isiyo na sheria.Tambua no evidence no right to speak katika ''court''.

Hatuna njia nyingine ya kuwahukumu hawa zaidi ya sheria,hivyo tukiwa wanajanvi kila mtu anafani yake.Tambua hatuko kusoma tu hapa na kupata cha kuchagiza kwenye vijiwe vya kahawa ''hapana'',wengine tunayafanyia kazi yanayojitokeza kulingana na uzito wake.

Nakushauri jaribu kubadilika na kuwamtekelezaji zaidi ya msomaji tu kwani uzalendo wako haujengwi hivyo ila ni ishara ya grapevines.Huwezi kuongelea habari ambayo inahitaji maamuzi huku huna taarifa za kutosha,lazima tu itaishia kapuni ama mtaani tu kama ''vapour gossip''.Pia tujenge mazingira ya kuisaidia jamii kwa kwenda mbali zaidi(huu ndio uzalendo) si tu kuishia kusoma na kulalama hapa.

Otherwise sipingi ''tetesi''ila nachukia tetesi zinazokuja na kuishia hewani bila mtoa hoja kutuambia kwa nini zimepotea kama ilivyotokea kwa ''Shimbo''.Jamani trillion tatu ni fedha nyingi,haiwezekani habari yake kupotea kienyeji hivi hivi tu.Je!tukisema hawa waleta tetesi huwa wanaongwa kuzipotezesha bila shaka hizi nazo zitakuwa ''tetesi'' kutokana na kutokuwa na ushahidi.Tuwe makini si vyote ving'aavyo ni dhahabu.

punguza vitisho kwani havisaidii kitu , mambo yanaenda taratibu kwani kupata amount husika tu inaweza kukusaidia kufuatilia. wewe ukiwa ni mtu wa kutisha watu huwezi kufanya lolote.

kuna mtu ambaye jambo liko mezani kwake unataka akujibu kuwa mimi ndio nagoma kupeleka fedha hizi? kuna source zingine ni huyo huyo anayezitoa sasa kuwa msikivu kidogo kwani wengine jamvini wakipata tetesi tu wanajua ni nani wa kumfuata ndani ya NMB ili apate taharifa kamili
 
Wana jamii forums,kuna dola zaidi ya milioni 30 inazungushwa huku na kule,kwa sasa iko NMB na wakubwa wa bank hii wanatia mgoma wa kuipeleka kwenye account ya nje ya nchi.last week waliitwa mahaka kuu saa kumi na moja na kuamriwa wazipeleke hizo hela haraka sana kwenye account waliopewa.mahakama yetu kweli imeoza na iko bega kwa bega na mafisadi kuiangamiza nchi.<br />
<br />
Kuna habari ambazo zimepatikana kuwa NMB hawako tayari kufanya uozo huu na hela iko njiani kupelekwa CRDB ili ziweze kupelekwa nje ya nchi.<br />
<br />
Orders kutoka BOT,ikulu na mahakama kuu kuwaamuru wakubwa hawa wa bank zipo na tunasubiri tu mda muafaka tuziweke hadharani<br />
<br />
Tutazidi kujuzana issue inavyoendelea
<br />
<br />
Sidhani kama ni kweli...
1: ili usafirishe hizo fedha lazma itakuwa through TT, na huwezi kutuma TZS itakuwa USD na kutuma USD ot that amount lazma uombe ruhusa kwa mmarekani, Je mtumaji atatoa sababu gani za kutuma hicho kiasi cha fedha? Labda wadanganye wanaagiza vipuri flani.(Reffer to ant money laundery act)
2: Lini nmb ilishtakiwa hadi wapokee order kutoka mahakamani? Je was it verbal or written? Kama iko kimaandishi basi nmb wa proceed na hio transaction supported by court doc. Then wakihojiwa waonyeshe hio court order.
3: Nijuavyo mm kutuma fedha lazma mtumaji atume maombi na ajaze beneficiary details na asign je mahakama ndio itafanya hivyo? I doubt!!!
 
Jamaa kasema tetesi tuache kasumba ya ubishi waswahili wanasema lisemwalo lipo kama halipo linakuja. Tushirikiane kutafuta source hapa watu wa bank hizi mbili na BOT wanaweza tusaidia kupata info. laikini ppia walioko ikulu na mahakama tupeni haya ili tuyasemee. Hamjaona baada ya kunza kusema tu ya shimbo TBC ikaanza kumsafisha kwa wenye akili tukajua hii ni janja ya nyani. TBC pia limeshakuwa ni genge la mafisdi. Kwa hiyo nawasomba wanaJF tuonyeshe ukomavu wetu wa ki Great thinker si kila wakati tuwe tunabishia hasa kwa maswala muhimu kama haya yenye maslahi kwa Taifa. Naomba kuwasilisha.
 
hayo ni maswali mazuri mdau ngoja tusubiri taarifa
Tufanye analysis kidogo ya taarifa hii ...

1. Walioko against Dola hizo ...zaidi ya milioni 30 ...ni IKULU, BOT na Mahakama Kuu .... and this is very serious!!

2. Wanaonyesha UZALENDO ni Banki ya walala Hoi ... NMB ... and this is very good!! AND CRDB .... Make sure you dont get into the dirty game!! Kwa kawaida hawa wanatakiwa kupata wapi msaada wa kunusuru heala kama hizi? Na wamefanya hivyo?

3. Swali: ..... NMB walifikishwa mahakamani na nani na kwa KOSA GANI?
..... Zinatumwa kwenye A/C ya nani huko nje ya nchi?
..... Nchi gani?
 
<br />
<br />
Sidhani kama ni kweli...
1: ili usafirishe hizo fedha lazma itakuwa through TT, na huwezi kutuma TZS itakuwa USD na kutuma USD ot that amount lazma uombe ruhusa kwa mmarekani, Je mtumaji atatoa sababu gani za kutuma hicho kiasi cha fedha? Labda wadanganye wanaagiza vipuri flani.(Reffer to ant money laundery act)
2: Lini nmb ilishtakiwa hadi wapokee order kutoka mahakamani? Je was it verbal or written? Kama iko kimaandishi basi nmb wa proceed na hio transaction supported by court doc. Then wakihojiwa waonyeshe hio court order.
3: Nijuavyo mm kutuma fedha lazma mtumaji atume maombi na ajaze beneficiary details na asign je mahakama ndio itafanya hivyo? I doubt!!!

Haya mambo unayoandika kama yangekuwa ndivyo ilivyo basi mapesa ya watanzania yasingeporwa. Jiulize tu swali dogo je pesa zinazotumwa kwenye balozi zinapitia scrtunity hizo zote????? Kwenye international finacial transation kuna loophole kubwa tu na kuna watu wasio waaminifu wanajua jisni ya kucheza nayo au wanatumia privilage walaizonazo kucheat system.


Mfano
tuajua wote kusafirisha madawa ya kulevlya ilivyo kazi na risk kubwa kwa mtu wa kawaida lakini once mtu mwenye diplomatic passport akimua ku abuse passport yake yeye risk zake za kukamwatwa zinakwua ni ndogo.....


Hivyo ndivyo ilivyo. complication unazoongelea wewe ni za masanja kutuma pesa lakini "system" au privillged ppl witin the system individually wa kiamua kuwa involved complication zinapungua.
 
Wana jamii forums,kuna dola zaidi ya milioni 30 inazungushwa huku na kule,kwa sasa iko NMB na wakubwa wa bank hii wanatia mgoma wa kuipeleka kwenye account ya nje ya nchi.last week waliitwa mahaka kuu saa kumi na moja na kuamriwa wazipeleke hizo hela haraka sana kwenye account waliopewa.mahakama yetu kweli imeoza na iko bega kwa bega na mafisadi kuiangamiza nchi.

Kuna habari ambazo zimepatikana kuwa NMB hawako tayari kufanya uozo huu na hela iko njiani kupelekwa CRDB ili ziweze kupelekwa nje ya nchi.

Orders kutoka BOT,ikulu na mahakama kuu kuwaamuru wakubwa hawa wa bank zipo na tunasubiri tu mda muafaka tuziweke hadharani

Tutazidi kujuzana issue inavyoendelea

Fanya harka kabla haijaondoka rafiki weka vielelezo tuanze kupiga mbiu.Kimei wa CRDB ni mtu wao madhambi yote ya hela za wizi zinapitia kwake.ukichelewa zitaondoka hizo.
 
It depends on how our minds are set! if we think we can need to rely on the provided evidence to comeup with a thr then my opinion leads me to a mess at the end of the day, we are going to miss something! we need to be objective on issues. When a lomour is on we need to work on it and find whether it is reliable! We need not to rely on evidence to salvage our natinal interests! wakeup people!
 
<br />
<br />
Sidhani kama ni kweli...
1: ili usafirishe hizo fedha lazma itakuwa through TT, na huwezi kutuma TZS itakuwa USD na kutuma USD ot that amount lazma uombe ruhusa kwa mmarekani, Je mtumaji atatoa sababu gani za kutuma hicho kiasi cha fedha? Labda wadanganye wanaagiza vipuri flani.(Reffer to ant money laundery act)
2: Lini nmb ilishtakiwa hadi wapokee order kutoka mahakamani? Je was it verbal or written? Kama iko kimaandishi basi nmb wa proceed na hio transaction supported by court doc. Then wakihojiwa waonyeshe hio court order.
3: Nijuavyo mm kutuma fedha lazma mtumaji atume maombi na ajaze beneficiary details na asign je mahakama ndio itafanya hivyo? I doubt!!!

In thoery unachosema ni sawa. But in practice hakuna kitu cha namna hiyo kama kuomba ruhusa and god knows what! Chenge alipata ruhusu toka kwa nani? kwa mmarekani? Na kuhusu CRDB, hii bank imekuwa mshiriki mzuri wa kupitisha hela zenye utatanishi kwa hiyo sioni shida hata kidogo kuamini kuwa kama NMB wamekataa CRBD itafanya kazi. Najua Denmark ni mwanahisa, sijui wana nini la kusema kuhusu msururu wa 'transactions' zenye utata?
 
Swala la grand-corruption ndani ya JWTZ halina ubishi. Kitu ambacho hakijaptikana (walau hapa Jamvini) ni kielelezo/vielelezo vya 'how much'. Na mambo yatajulikana tu kwani hata idea ya kuchunguzwa kwa Meremeta ilipingwa vikali na Waziri Mkuu Pinda lakini sasa Bunge limeridhia Meremeta ichunguzwe. Za mwizi 40.
Msisahau meremeta ndiyo shimbo mwenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
There is a say "Trust no one and fear every body" once you become a soldier you are supposed to fear nobody, If you are a social activist there is a say "Do not take reproofs" now if you are a shushushu you need to verify reproofs!! as a forum we needs to work in all aspects! wakeup people!!
 
Now days i doubt with insight information provided here specifically on Ufisadi.Big stories with poor evidence to support, unshape the dignity of our forum.We can not continue to comment whatever we see front but we need to get accurate,relevant and reliable source of the called scandals and that is where our comments,remarks and concerns of findings take part of the great/deep thinkers.

I repeat ''we can not perpetuate on roaming romours all the time that disgrace our vested logo''.

umbea unakuwa mwingi hata kama mtu hana ushahidi wa nyaraka si aleze vizur hata huo ushahidi wa mazingira maana nao ni admissible
 
Back
Top Bottom