yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
Napenda kutumia fursa hii kuwapongeza vijana wenzangu ambao mungu kawaona na kuwapa nafasi ya kuwa makalani wa sensa,pia haitokua busara km ctowajaza subira na uvumilivu kwa wale wote ambao hawakubahatika kupata nafasi hiyo lakini waliomba pia.mungu atawaona nanyi cku moja.tusema ameen...
Nirudi kwenye mada husika,km nlivyoeleza kwenye kichwa cha habari hapo juu.kwa wale ambao walibahatika kukisoma kitabu cha NGOSWE PENZI kITOVU CHA UZEMBE miaka ya nyuma wanakumbuka jinsi NGOSWE alivyosababisha hasara ya kuungua kwa makaratasi ya sensa kwa kuendekeza mapenzi na msichana MAZOEA.hii inaweza hata kujirudia kwa kipindi hiki ambacho vijana wengi wanaendekeza sana mapenzi.kuweni makini kwenye hii kazi jaman.mkumbuke jinsi mnavyotaabika huko mtaani.serikali yenyewe mnaijua hii ukiharibu unweza ukaambiwa utumie pesa yko kutafuta upya hzo taarifa muhimu za sensa.
Kwa hayo machache naona nisiwachoshe sana wapendwa wasomaji.
Namalizia kwa kusema ramadhani njema na ijumaa kareem kwa ndugu zangu waislam ila pia nawatakia cku njema na kazi njema kwa woote.
Asanteni sana.
Nirudi kwenye mada husika,km nlivyoeleza kwenye kichwa cha habari hapo juu.kwa wale ambao walibahatika kukisoma kitabu cha NGOSWE PENZI kITOVU CHA UZEMBE miaka ya nyuma wanakumbuka jinsi NGOSWE alivyosababisha hasara ya kuungua kwa makaratasi ya sensa kwa kuendekeza mapenzi na msichana MAZOEA.hii inaweza hata kujirudia kwa kipindi hiki ambacho vijana wengi wanaendekeza sana mapenzi.kuweni makini kwenye hii kazi jaman.mkumbuke jinsi mnavyotaabika huko mtaani.serikali yenyewe mnaijua hii ukiharibu unweza ukaambiwa utumie pesa yko kutafuta upya hzo taarifa muhimu za sensa.
Kwa hayo machache naona nisiwachoshe sana wapendwa wasomaji.
Namalizia kwa kusema ramadhani njema na ijumaa kareem kwa ndugu zangu waislam ila pia nawatakia cku njema na kazi njema kwa woote.
Asanteni sana.