Ramthods
JF-Expert Member
- Jun 2, 2009
- 515
- 186
Ndugu wadau JF,
Hivi karibuni jirani yetu Uganda alipitisha sheria ya kuzuia uingizwaji wa vifaa vya electronic vilivyotumika kufuatia ongezeko la uchafu unaotokana na vifaa hivi nchini. Pia, Kenya nayo imetoa pendekezo la kuzuia kuingizwa nchini vifaa vye electronic vilivyotumika. Hii ni pamoja na used computers, ambazo ndio huingia kwa wingi ukilinganisha na bidhaa nyingine.
Sina uhakika kama hapa kwetu Tanzania tuna mchakato kama huu. Na pia, sijajua ni wapi zinakoweza kupatikana data ni kiasi gani cha uchafu Tanzania inazalisha kutokana na bidhaa hizi zilizotumika toka nchi za nje, na ni kiasi gani bidhaa kama hizi zinatusaidia, iwe kiuchumi, kielimu au katika secta nyingine.
Je, kuna haja ya kuzuia used electronic products from being imported into our country?
Links:
Uganda effects ban on used electronics imports, controversy continues
Kenyan government suggests ban on second-hand computers
Hivi karibuni jirani yetu Uganda alipitisha sheria ya kuzuia uingizwaji wa vifaa vya electronic vilivyotumika kufuatia ongezeko la uchafu unaotokana na vifaa hivi nchini. Pia, Kenya nayo imetoa pendekezo la kuzuia kuingizwa nchini vifaa vye electronic vilivyotumika. Hii ni pamoja na used computers, ambazo ndio huingia kwa wingi ukilinganisha na bidhaa nyingine.
Sina uhakika kama hapa kwetu Tanzania tuna mchakato kama huu. Na pia, sijajua ni wapi zinakoweza kupatikana data ni kiasi gani cha uchafu Tanzania inazalisha kutokana na bidhaa hizi zilizotumika toka nchi za nje, na ni kiasi gani bidhaa kama hizi zinatusaidia, iwe kiuchumi, kielimu au katika secta nyingine.
Je, kuna haja ya kuzuia used electronic products from being imported into our country?
Links:
Uganda effects ban on used electronics imports, controversy continues
Kenyan government suggests ban on second-hand computers