Dena mie niko mnyamala..tukutane basiUko wapi ukutane na wa eneo lako?
<br />Kuna watu walileta feedback humu baada ya kukutana....eeh ilikuwa balaa!! Mwingine kadai kumbe wanaJF ni masharobaro,wengine eti eti kukutana nae tu kaniomba tigo....balaa tupu.