Kuna haja ya kupima UKIMWI kweli?

May 4, 2009
34
1
Suala la kupima UKIMWI linasemwa sana.

Tunaambiwa Tanzania bila UKIMWI inawezekana, kwa kupima.

Inakuwa kama kujua afya yako ni jambo la maana sana.


Ukiangalia athari za kujua afya yako kulinganisha na faida, utaona jinsi ambavyo tendo hilo la kupima halina msaada mkubwa kama inavyosikika.


Kuishi maisha ya kutokuwa na hakika na uwapo wa wadudu hao mwilini, hakuwezi kukuathiri kama pale unapokuwa unajua ubomoaji wa seli unaendelea mwilini. Ni rahisi kuanza kuugua kabla ya wakati, kitu ambacho
kisingekuwapo kama ungesingejua.
Faida iko wapi?

Kujua kwamba tayari unaumwa, kunakushawishi kujinyanyapaa mwenyewe, na kuanza kuhisi kufakufa, jambo ambalo haliwezi kuelezeka kama faida.

Ni kama unapokunywa maji yasiyochemshwa bila taarifa.
Huumwi tumbo.

Suala la kupima kimsingi halina maana zaidi ya kukusanya takwimu za wagonjwa nchini.

Maoni ya Daktari mwanafunzi, Muhimbili. Asante sana!
 
Anyway hayo ni maoni yako. Ila Acha kudanganya watu! Ukimwi ni kitu kingine..
 
Suala la kupima UKIMWI linasemwa sana.

Tunaambiwa Tanzania bila UKIMWI inawezekana, kwa kupima.

Inakuwa kama kujua afya yako ni jambo la maana sana.


Ukiangalia athari za kujua afya yako kulinganisha na faida, utaona jinsi ambavyo tendo hilo la kupima halina msaada mkubwa kama inavyosikika.


Kuishi maisha ya kutokuwa na hakika na uwapo wa wadudu hao mwilini, hakuwezi kukuathiri kama pale unapokuwa unajua ubomoaji wa seli unaendelea mwilini. Ni rahisi kuanza kuugua kabla ya wakati, kitu ambacho
kisingekuwapo kama ungesingejua.
Faida iko wapi?

Kujua kwamba tayari unaumwa, kunakushawishi kujinyanyapaa mwenyewe, na kuanza kuhisi kufakufa, jambo ambalo haliwezi kuelezeka kama faida.

Ni kama unapokunywa maji yasiyochemshwa bila taarifa.
Huumwi tumbo.

Suala la kupima kimsingi halina maana zaidi ya kukusanya takwimu za wagonjwa nchini.

Maoni ya Daktari mwanafunzi, Muhimbili. Asante sana!


Mkuu;

Kwanza, Una nafasi nzuri ya kuboresha mwenendo wa maisha yako paele unapojua una Ukimwi au hauna.

Swala la kupima huendana na Ushauri Nasaha ambao ni muhimu sana. Tatzo la Stigma, Msongo wa mawzo nk katika ukimwi ni la kisaikolojia zaidi kuliko kiafya. Kupima ni muhimu.

Tafakari. Chukua hatua.
 
[quote
Maoni ya Daktari mwanafunzi, Muhimbili. Asante sana![/quote]

Kama haya ni mawazo ya daktari mtarajiwa, hii vita dhidi ya ukimwi haitaisha kwa mwendo huu. Uko kitengo cha dawa za miti shamba au?
 
Suala la kupima UKIMWI linasemwa sana.

Tunaambiwa Tanzania bila UKIMWI inawezekana, kwa kupima.

Inakuwa kama kujua afya yako ni jambo la maana sana.


Ukiangalia athari za kujua afya yako kulinganisha na faida, utaona jinsi ambavyo tendo hilo la kupima halina msaada mkubwa kama inavyosikika.


Kuishi maisha ya kutokuwa na hakika na uwapo wa wadudu hao mwilini, hakuwezi kukuathiri kama pale unapokuwa unajua ubomoaji wa seli unaendelea mwilini. Ni rahisi kuanza kuugua kabla ya wakati, kitu ambacho
kisingekuwapo kama ungesingejua.
Faida iko wapi?

Kujua kwamba tayari unaumwa, kunakushawishi kujinyanyapaa mwenyewe, na kuanza kuhisi kufakufa, jambo ambalo haliwezi kuelezeka kama faida.

Ni kama unapokunywa maji yasiyochemshwa bila taarifa.
Huumwi tumbo.

Suala la kupima kimsingi halina maana zaidi ya kukusanya takwimu za wagonjwa nchini.

Maoni ya Daktari mwanafunzi, Muhimbili. Asante sana!

1. Uki jua afya yako uta badili mfumo wa maisha yako kutokana na hali yako. Mfano kula vya kula vinavyo takiwa na kupumzika zaidi. Kubadili mfumo wa maisha uta kusaidia sana kurefusha maisha.

2. Uta walinda wengine. Ukijua ume athirika hauta fanya ngono zembe na kuambukiza watu makusudi(kama una utu).

3. Una weza kuanza kutumia dawa. Japo kuna wanao sema dawa zina madhara yake ila in the wrong run ni bora kutumia dawa kuliko kuto kutumia.

4. Usicho kijua ni kama usiku wa giza. Ni bora kujua ukweli uchukue hatua madhubuti za kuku saidia.

 
Wakati mwingine kupima Ukimwi ni lazima.
Mifano:
-Umepata rafiki wa kike na mnataka muanze kula nyama kwa nyama
-Unataka kwenda masomoni nje ya nje
-unataka kufunga harusi

Hata hivyo inatakiwa kupewa ushauri nasaha na kuandaliwa kisaikolojia katika hilo
 
usiombe kupima ukimwi raha ila kusubiri majibu noma,huwa napima ukimwi nikiwa mjamzito only for my baby;otherwise sipimi ng'o!maana hata ukipima kama unao unao tu
 
usiombe kupima ukimwi raha ila kusubiri majibu noma,huwa napima ukimwi nikiwa mjamzito only for my baby;otherwise sipimi ng'o!maana hata ukipima kama unao unao tu

Ndiyo hata ukipima kama unao unao lakini nia ya kupima si ilimradi tu. Mtu una pima ili ujue afya yako na uji tunze kutokana na maisha yako. Mtu yoyote mwenye ugonjwa fulani haswa wenye long term effects kama Ukimwi, Kisukari, ugonjwa wa moya nk huwa ni vizuri zaidi mtu ajue hali yako so as to adjust accordingly. It is a proven fact that the sooner you know you have HIV & start taking the right measures, the longer you can live. Kama mimi na my girl tuna pima every three months in fact I'm scheduled for one this month.
 
...kwakweli haina haja.

Nishapima mara ya kwanza 1996 majibu yakarudi -ve, nikapima tena 1998 majibu vile vile yakawa -ve, nikapima tena mwaka 2000 majibu yakarudi -ve, ...2007 nikacheki tena -hola! majuzi juzi nimecheki tena -hola!... sasa kuendelea kucheki kwa mara ya sita si itakuwa namtafuta Subhana wa Taala muhali, ee wajemeni?
 
...kwakweli haina haja.

Nishapima mara ya kwanza 1996 majibu yakarudi -ve, nikapima tena 1998 majibu vile vile yakawa -ve, nikapima tena mwaka 2000 majibu yakarudi -ve, ...2007 nikacheki tena -hola! majuzi juzi nimecheki tena -hola!... sasa kuendelea kucheki kwa mara ya sita si itakuwa namtafuta Subhana wa Taala muhali, ee wajemeni?

Tatizo Ukimwi kama ugonjwa mwingine una weza ukaupata muda wowote hata upime mara ngapi na kwa miaka mingapi. Keep it up mzee bira upime mara kwa mara because you never know when you will be exposed. Au kama una mtu wako mna aminiana sana una weza kuachana na hiyo processya kupima.
 
...kwakweli haina haja.

Nishapima mara ya kwanza 1996 majibu yakarudi -ve, nikapima tena 1998 majibu vile vile yakawa -ve, nikapima tena mwaka 2000 majibu yakarudi -ve, ...2007 nikacheki tena -hola! majuzi juzi nimecheki tena -hola!... sasa kuendelea kucheki kwa mara ya sita si itakuwa namtafuta Subhana wa Taala muhali, ee wajemeni?

lol kama unatabia ya kufyonza damu za watu wengine kama wenye asili ya jina lako wee endelea kupima tu wala usichoke lol
 
sijui kama umeshawahi kuona watoto waliozaliwa na ukimwi! utajiuliza kwa nini walizaliwa?? wazazi wao pengine walikuwa na mawazo kama wewe!














aids-in-kenya_50.jpg



angalia yatima hawa wazazi wao hwakujua wala kujitayarisha
clip_image001.jpg


20060809-children-africa.jpg


waafrika tumezoea sana maisha ya kujionyesha na kushindana, achilia mbali maisha ya kutoface-responsibility, thats why una
wasiwasi ukijulikana ndio hivyo tena

Pili mkuu UKIMWI SIO UGONJWA, NI UPUNGUFU WA KINGA MWILINI WATU WENYE UKIMWI WANAKUFA KWA MAGONJWA MENGINE MENGI AMBAYO MENGI YANATIBIKA!

umefanya vyema kuuliza naamini utashiba, kama una wasi wasi basi ukipima na kukuta -OK inakupa motisha na faraja ya kubadili tabia , ukikuta unao mkuu sio ndio hali halisi??

wenzako wanawaza kukinga wewe ndio haujikingi(mfano) unawaza usipime! umevuka hatua zote za usalama umesimama katikati ya reli unasema treni itasimama ikikuona, wakati usalama ni kuwa nje ya reli!

KAMA UMEPIMA NA KUKUTA UNAO, IS GOOD TIME SIO KUFIGHT KWA AJILI YA AFYA YAKO TU, BALI YA WEWE NA WATOTO UTAKAOWAACHA, OFCOURSE HAUTAKUFA GHAFLA, UKIJITAYARISHA itakupa furaha sana.
 
Back
Top Bottom