FisadiNyangumi
Member
- May 4, 2009
- 34
- 1
Suala la kupima UKIMWI linasemwa sana.
Tunaambiwa Tanzania bila UKIMWI inawezekana, kwa kupima.
Inakuwa kama kujua afya yako ni jambo la maana sana.
Ukiangalia athari za kujua afya yako kulinganisha na faida, utaona jinsi ambavyo tendo hilo la kupima halina msaada mkubwa kama inavyosikika.
Kuishi maisha ya kutokuwa na hakika na uwapo wa wadudu hao mwilini, hakuwezi kukuathiri kama pale unapokuwa unajua ubomoaji wa seli unaendelea mwilini. Ni rahisi kuanza kuugua kabla ya wakati, kitu ambacho
kisingekuwapo kama ungesingejua.
Faida iko wapi?
Kujua kwamba tayari unaumwa, kunakushawishi kujinyanyapaa mwenyewe, na kuanza kuhisi kufakufa, jambo ambalo haliwezi kuelezeka kama faida.
Ni kama unapokunywa maji yasiyochemshwa bila taarifa.
Huumwi tumbo.
Suala la kupima kimsingi halina maana zaidi ya kukusanya takwimu za wagonjwa nchini.
Maoni ya Daktari mwanafunzi, Muhimbili. Asante sana!
Tunaambiwa Tanzania bila UKIMWI inawezekana, kwa kupima.
Inakuwa kama kujua afya yako ni jambo la maana sana.
Ukiangalia athari za kujua afya yako kulinganisha na faida, utaona jinsi ambavyo tendo hilo la kupima halina msaada mkubwa kama inavyosikika.
Kuishi maisha ya kutokuwa na hakika na uwapo wa wadudu hao mwilini, hakuwezi kukuathiri kama pale unapokuwa unajua ubomoaji wa seli unaendelea mwilini. Ni rahisi kuanza kuugua kabla ya wakati, kitu ambacho
kisingekuwapo kama ungesingejua.
Faida iko wapi?
Kujua kwamba tayari unaumwa, kunakushawishi kujinyanyapaa mwenyewe, na kuanza kuhisi kufakufa, jambo ambalo haliwezi kuelezeka kama faida.
Ni kama unapokunywa maji yasiyochemshwa bila taarifa.
Huumwi tumbo.
Suala la kupima kimsingi halina maana zaidi ya kukusanya takwimu za wagonjwa nchini.
Maoni ya Daktari mwanafunzi, Muhimbili. Asante sana!