TIGO mtaani kwa sasa ni neno tata kwani linafarakanisha watu kutokana na jina hilo kutumiwa kwa matusi,hili linaishusha hadhi na watu waoheshimiana huogopa kuwa na mtandao huo kuogopa kutaja neno hilo.Je ili kulinda heshima ya kampuni si vema kubadili jina hilo kuachana na matusi?Hivi ni nini chanzo cha neno hilo kutumika kama matusi?Wanajamvi changieni.