Nimesoma hukumu ya jana juu ya mgombea binafsi mpaka nimepatwa na homa. Nimesikitishwa na kauli kwamba mahakama za Tanzania hazina mamlaka ya kuwapa wananchi haki zao zilizo minywa na katiba ya kikoloni mpaka bunge, labda zinaweza kushauri tu.
Najiuliza swali, kama kweli mahakama hazina uwezo wa kuwapa haki wananchi ambazo zinakiukwa na katiba, je wizara ya sheria inakazi gani?? Mwanansheria mkuu wa serikali anafanya kazi gani ili kuwasaidia wananchi??
Nachelea kusema ndiyo maana vita vya weneywe kwa wenyewe afrika havita kwisha kwa sababu ya ukoloni wa sisi wenyewe watu weusi.
Najiuliza swali, kama kweli mahakama hazina uwezo wa kuwapa haki wananchi ambazo zinakiukwa na katiba, je wizara ya sheria inakazi gani?? Mwanansheria mkuu wa serikali anafanya kazi gani ili kuwasaidia wananchi??
Nachelea kusema ndiyo maana vita vya weneywe kwa wenyewe afrika havita kwisha kwa sababu ya ukoloni wa sisi wenyewe watu weusi.