Ninasumbuliwa na KISUKARI cha juu nina mwaka sasa.
Nimekuwa nashindwa kutengeneza hasa chakula ninachotakiwa kula lakini ninajitahidi sasa maana nimekuwa nachoma insulin mara kwa mara.
Je ni kweli kuna dawa mpya ambazo inasemekana zinasaidia sana kushusha sukari?
Naomba msaada wenu
:thinking:
Nimekuwa nashindwa kutengeneza hasa chakula ninachotakiwa kula lakini ninajitahidi sasa maana nimekuwa nachoma insulin mara kwa mara.
Je ni kweli kuna dawa mpya ambazo inasemekana zinasaidia sana kushusha sukari?
Naomba msaada wenu
:thinking: