Qixima mQiqa
Senior Member
- May 18, 2012
- 178
- 20
Inaonekana Mtambuzi alivaa dawa ya penz kwenye kidole chake cha mkonon
Inaonekana Mtambuzi alivaa dawa ya penz kwenye kidole chake cha mkonon
BADILI TABIA Unajua jana nilitaka kumuingia huyu BInti wa KI-South na zile gia zangu za "MUUZAJI SI ANAJULIKANA....!" lakini nikaogopa yasije nikuta yale ya BRUCE LEE kule AVALON CINEMA kama wakati uleeeee......................LOL
Hahaha hahha hahha!
Yani wewe mdingi ndui ukazima simu ili tusikushtukie km ulikamatika lol!,
Kwa taarifa yako ilikuwa ngoma droo maana nilimwalika yule prof anayeniombaga no za mama kwa chakula cha usiku na sie tukaenda kulala na kumwacha mama anaongea naye mambo ya kunitafutia chuo cha nje ya nchi so wewe endelea tu na semina sie tuko poa hata mama akisikia uko na huyo mzulu wala hatamind ukumbuke tu kutumia dawa ya penzi,
BTW,Narudi kulala coz Rejao wangu leo haendi job,na uwe na wakati mwema baba.
makorora unakujua weye?Labda kama ulimsaidia wewe. . .
Ye nilishamfunga kwa babu!!!
makorora unakujua weye?
kwa mzee wa busara.Uhh uhhh!!!Ndio wapi huko?
kuanzia saa sita mchana nipo hapa bwawani na notibuku yangu mbona sikuoni mkuu? kwanza ilikuwa urudi na ndege gani toka bondeni?Bishanga ........Mchana huu nitaongea na wanahabari wa JF katika Hoteli ya Bwawani hapa ZNZ.
Nitatoa ufafanuzi juu ya jambo hili ili kuondoa utata......
kwa mzee wa busara.
Wala hujakosea shem wangu Erickb52,mida ile cha usiku muhimu ebo!
wapi?kwamtoro handeni?Ahhh mi sikwenda huko. . . nilienda jirani.