Jaribu kukumbuka kiapo ulichoapa kanisani. Anyway pete unayo kidoleni?
Hivi pete ya ndoa nayo inazuia watu wasijiingize katika usaliti kwa ndoa zao ati. Hahahahahah
Jaribu kukumbuka kiapo ulichoapa kanisani. Anyway pete unayo kidoleni?
BADILI TABIA unamaanisha MKUYATI.....?usisahau kutumia dawa ya penzi....
Nimeshayashinda majaribu mengi tu...............mshahara wa dhambi ni mauti,ikimbie zinaa,yaani ni aibu iliyoje kwa wanao kuwa baba yao ni mzinzi asiyemheshimu mama yao,acha bwana kwani utatumia dakika ngapi!kwani hyo raha unakaa nayo muda gani?
Kongosho ingekuwa ni enzi zangu zile za ujana yaani Miaka kumi iliyopita.......damu inachemka enzi zile naitwa GUSTAVO......mchuzi wa mbwa unanywewa ukiwa wa moto, wee chelewa chelewa utakuta mwana si wako.
du na hayo mabatabata lazma ubembee leo,Hata akili ya kuandaa uzi wa Ijumaa isharuka hapa........... Kumbe ndio maana Mzee Jacob Zuma anawakusanya tu kila uchao.................Mabinti wa Kizulu..... Mungu alijua kuwaumba.........LOL View attachment 54324
Nishasahau kwamba inavaliwa kwenye dole gumba lipi..... maana alikuja mkurufunzi wa mambo ya ukimwi kazini kwetu akawa anatufundisha kuvaa kwenye kidole gumba, lakini nishasahau kuwa lilikuwa ni dole gumba la mkono wa kulia au wa kushoto........!Nope Mtambuzi, ana maana ya kondom.
Haya usaliti mwema!!
vaa kwenye dole la katikati almaarufu kama mkongojoNishasahau kwamba inavaliwa kwenye dole gumba lipi..... maana alikuja mkurufunzi wa mambo ya ukimwi kazini kwetu akawa anatufundisha kuvaa kwenye kidole gumba, lakini nishasahau kuwa lilikuwa ni dole gumba la mkono wa kulia au wa kushoto........!
We jipigie tu bana,nani atajua?Pete ya ndoa sijavaa kidole kina fangasi........................
Ndio nipo nipo naye hapa naendela kukemea pepo mbaya wa ngono asije niingia maana binti mwenyewe anafakamia AMARULA kama hana akili nzuri
Nishasahau kwamba inavaliwa kwenye dole gumba lipi..... maana alikuja mkurufunzi wa mambo ya ukimwi kazini kwetu akawa anatufundisha kuvaa kwenye kidole gumba, lakini nishasahau kuwa lilikuwa ni dole gumba la mkono wa kulia au wa kushoto........!
umeshamshtukia wapi wewe wakati unatoa mijicho ka ndulele mwitu huku ukiendelea kumpigisha stori ili aendelee kubadili mikao! Unalo leoHampati mtu hapa.............. Nishamshitukia huyu