Kwamujibu wa Radio ya Taifa ni kwamba PM atatoa hotuba ya kufunga kikao cha bunge leo mida ya alasiri, nadhan kama kuna lolote tutapata maelezo wakati huo.
Asante mkuu kwa kunifahamisha
Jamani wana JF kwa tunavyoona kuna dalili kweli huyu ndugu Pinda kutema cheche kwani pakasasa sioni kinachoendelea
minaona ni zilezile hadithi za sungura na fisi. Kama kuna anayefaham lolote ebu atujuze