Kuna chuo elimu ya juu tz chenye hadhi ya chuo kikuu?

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,553
32,178
Salam wadau
nilitaka kuuliza kama kuna chuocha elimu ya juu chochote humu (zaidi ya 50 kwa sasa 2012) nchini Tz chenye hadhi ya kuitwa CHUO KIKUU? maana nimezungukia MLIMANI, ARDHI, MUHIMBILI, MUSLIM, UDOM ,TUMAINI zote, SAUT, TEKU, ST. JOSEPH nilichoshuhudia ni majengo chakavu chakavu na walimu wapiga miayo tu wakisubiria kama kuna "dili" mtaani wasepe. zaidi ni katika MAKTABA sijaona kitu ukija kwenye INNOVATIONS ndo sifuri (sidhani hata kama tumeshawahi kutoka NOMINATIONS hata moja kwenye NOBEL PEACE PRIZE). Tujipeni pole watanzania
 
Kwa hyo ulitaka 2viitaje hvyo vyuo?na km hamna chuo kikuu kwa hyo watu wakasome wap?
 
salam wadau
nilitaka kuuliza kama kuna chuocha elimu ya juu chochote humu (zaidi ya 50 kwa sasa 2012) nchini tz chenye hadhi ya kuitwa chuo kikuu? Maana nimezungukia mlimani, ardhi, muhimbili, muslim, udom ,tumaini zote, saut, teku, st. Joseph nilichoshuhudia ni majengo chakavu chakavu na walimu wapiga miayo tu wakisubiria kama kuna "dili" mtaani wasepe. Zaidi ni katika maktaba sijaona kitu ukija kwenye innovations ndo sifuri (sidhani hata kama tumeshawahi kutoka nominations hata moja kwenye nobel peace prize). Tujipeni pole watanzania

njoo sua wewe aka chuo kikuu cha kweli bongo
 
Wewe kenge kweli. Wasomi wote hapa nchini wamesomea wapi? Acha kujizalilisha bana
 
Jenga chuo chako ili usome kwenye chuo ulichojijengea wewe mwenyewe kama unaona tanzania hakuna chuo kikuu. Au nenda kasome huko unakofikiri kuna vyuo vikuu na kazi ufanye huko huko. Vyuo vyetu vina matatizo lakini kama wewe ni mtanzania huwezi kuvidhalilisha vyuo vyetu kiasi hicho. Kuna vyuo ndani ya tanzania vinatambulika kimataifa na ukisoma vyuo hivyo utakubalika mahali popote duniani. BADILIKA NDUGU
 
Cho sio majengo bwana mdogo, innovations ni wewe hujaona sio kwamba hazipo, maabara, karakana na maktaba zilizosheheni pia zipo! Lastly, shule yako ndogo i suppose.
 
Back
Top Bottom