Kuna Chuo Chochote Kinatoa Mafunzo Namna Ya Kuongea Mbele Ya Kadamnasi?

MSIBA OYEE !!
Mkuu, nimecheka kama sina akili vile. Kweli huyo jamaa alikuwa mbovu kuliko wewe.
Yule jamaa aliyekushauri hapo juu uwaone viongozi wa dini alikuwa sahihi. Kwenye mafunzo ya huduma za kichungaji kuna somo la communication, ambalo linahusisha namna ya kuandaa ujeumbe na deliverance yake. Hapo kwenye deliverance kuna suala la kusoma hadhara (audience), Namna ya kuanza, njia za deliverance, na jinsi ya kufunga. Jinsi ya ku-gain confidence wakati unapoanza na unapoendelea kutoa ujumbe wako, ni kati ya mambo yanayofundishwa kwenye kozi hiyo.

Nadhani hii pia ni changamoto nzuri kwa watu kufikiria kuwa na masomo yanayofundisha public communication.
 
Heshima wakuu...
Nauliza kama kuna chuo chochote hapa nchini kinachotoa mafunzo ya namna ya kuongea mbele ya kadamnasi. Hii inatokana na namna watu mbalimbali tulivyo waoga kuongea mbele ya watu hasa katika sherehe au msibani.
Kuna kisa kilinitokea msibani baada ya kumaliza kutoa heshima kwa mwili wa marehemu na kuwa tayari kusafirishwa, niliombwa nitoe neno la shukrani. Lakini niliweza kukwepa na kumtupia jamaa mmoja aliyekuwa jirani yangu, lakini kumbe yeye ndiye alikuwa mbovu kuliko mimi. Alianza kwa kusema "MSIBA OYEEE"......shukrani kwa mzee mmoja aliyeokoa jahazi.
Naombeni elimu ya namna ya kujiamini nisije kupatwa na aibu kama hiyo........

Kipo. Kinaitwa River Side Bar. Pale Ubungo karibu na daraja. Ukikaa hapo masaa yako 3 tu shwari. Hata speech za kiingereza mbele ya public utaongea.
 
Heshima wakuu...
Nauliza kama kuna chuo chochote hapa nchini kinachotoa mafunzo ya namna ya kuongea mbele ya kadamnasi. Hii inatokana na namna watu mbalimbali tulivyo waoga kuongea mbele ya watu hasa katika sherehe au msibani.
Kuna kisa kilinitokea msibani baada ya kumaliza kutoa heshima kwa mwili wa marehemu na kuwa tayari kusafirishwa, niliombwa nitoe neno la shukrani. Lakini niliweza kukwepa na kumtupia jamaa mmoja aliyekuwa jirani yangu, lakini kumbe yeye ndiye alikuwa mbovu kuliko mimi. Alianza kwa kusema "MSIBA OYEEE"......shukrani kwa mzee mmoja aliyeokoa jahazi.
Naombeni elimu ya namna ya kujiamini nisije kupatwa na aibu kama hiyo........

hapo mwisho umetudanganya laivu. Ila umekuwa mkweli. Kuongea mbele za watu wala si kipaji bali ni mazoea (sijui ndo experience)
 
MSIBA OYEE !!
Mkuu, nimecheka kama sina akili vile. Kweli huyo jamaa alikuwa mbovu kuliko wewe.
Yule jamaa aliyekushauri hapo juu uwaone viongozi wa dini alikuwa sahihi. Kwenye mafunzo ya huduma za kichungaji kuna somo la communication, ambalo linahusisha namna ya kuandaa ujeumbe na deliverance yake. Hapo kwenye deliverance kuna suala la kusoma hadhara (audience), Namna ya kuanza, njia za deliverance, na jinsi ya kufunga. Jinsi ya ku-gain confidence wakati unapoanza na unapoendelea kutoa ujumbe wako, ni kati ya mambo yanayofundishwa kwenye kozi hiyo.

Nadhani hii pia ni changamoto nzuri kwa watu kufikiria kuwa na masomo yanayofundisha public communication.

Asante.
 
yani umekumbusha kuna mtu alisema Bwana asifiwe kwenye kikao cha wafanyakazi
 
Unapokua unafanya presentation kwenye seminer hapo ndo unapata mafunzo.
 
Kipo. Kinaitwa River Side Bar. Pale Ubungo karibu na daraja. Ukikaa hapo masaa yako 3 tu shwari. Hata speech za kiingereza mbele ya public utaongea.

nakumbuka nilishaenda kupata mafunzo pale lakini niliutubia kwa kiinglish njia nzima hadi nyumbani..
 
Back
Top Bottom