Kuna cha kujifunza toka Chile?

Nyani Ngabu, tofauti ya Wachile na Wahaiti ni nini?

Wa Haiti wengi wao (asilimia 90 na kitu) ni Waafrika. Wa Chile wamechanganyika....kuna wenye asili ya Ulaya, Hispania (hii nayo ulaya eeh?) kuna wahindi wekundu, nk.
 
Nyani,
Kwa nini unahangaika kushauri tujifunze toka kwa wengine wakati tulishaambiwa kuwa Mtu Mweusi hakuna analoweza kutenda?

Kwa hiyo wewe unaamini kile ulichoambiwa huwezi kufanya? Kama ndio hivyo, basi hilo ndio kiini cha tatizo lenyewe. Badala ya kuwa na point to prove kwamba na wewe unaweza na kuwa prove watu wrong wewe unakubali tu unachoambiwa. Ukisikia ujinga ndio huo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom