Kuna baadhi ya wamabongi flava wanajitahidi hebu check hizi lyrics

RayB

JF-Expert Member
Nov 27, 2009
2,751
196
SONG MR-PRESIDENT
ARTIST R.O.M.A
PRODUCER J-RIDER + YUDDI
STUDIO TONGWE RECORDS
CONTACTS R.O.M.A- 0717-72007_?
romabraq@yahoo.com
INTRO
By…..Mwl. Julius Kambarage Nyerere
Ikulu ni mahali patakatifu, ikulu ni mahala patakatifu,
Mimi sikucha guliwa na wananchi wa Tanzania
Kuja kupageuza kuwa pango la walanguzi
Claps claps claps
By…Roma
Drop drop drop drop drop yop
Haaa haaa… yes Surprise …Tongwe records
We are here for revolution wooord
Mr. president ..welcome to white house
Thank you….aaaah …thank you ….yeaaah

VERSE….1
Mi ndo’ roma mkatoliki mwenye asili ya kiyahudi
Mpare wa milimani sa lamu ya kikwetu urewedi
We ni mkwere wa chalinze ambaye hutamsahau mnyakyusa...(Mwakyembeee)
Aliye wafundisha monduli siasa
Aliyekula kiapo kwa agano jipya la wakorintho
Siyo msabato mwenye siasa za kubattle kama Zitto
Mwenye wito wa Appocalypto husssle za Kambikatoto
Msaka ndoto kama kristo shujaa kama Mrisho Mpoto
Jasiri kama Mandela busara kama Nyerere
Niliyejificha mapangoni mithili ya Otango Osale
So usinidanganye kwa uchawi waaa kutumia ndulele
Au vita vya majimaji nife kama Kinjekitile
Hatutaki siasa za kale, siku hizi tunawahi kubalehe
Nawapa pole wakazi wote wa Tandale kwa Mtogole
Akhsante Sheikh umeniita ikulu sio kisa nina nyota ya mshale
Najua mvi sio busara ila naomba amani itawale
Ikulu yako ina thamani zaidi ya falme za kiarabu
Cha ajabu hawaithamini na inapoteza thawabu
Taifa lilikutabri tangu enzi ukiwa waziri
J.K wa 2 utakuja ongoza hii serikali
Yenye vilio kote kama kina mama wa Galilaya
Wanaoutafuta ukombozi wasimamishe Pobilahaya
Viongozi wetu ni mafia na mabeautifull lier
Nilikuwa na ndoto hizo ila bado hawaja niinspire

CHORUS
Pagani si mlituahidi mtamwaga na lami vipiii?...Badoooo
Wanafuzi mlituahidi walimu mtawaleta!!...woooh
Morogoro na Tanga vipiii?Badooo
Dodoma…?Badooo…
Kigoma…?Badooo..
Maisha bora kwa watanzania nyie wenyewe mlituambia
Manurse…?Badooo
Mapolice…?Badooo
Ajira kwa vijana na maendeleo kwa kina mama
Watotoo…?Badooo
Kina mamaaa…?Badoooo

VERSE….2

Inafahamika ulipewa nchi angali imeshachafuka
Uongoze hii familia kubwa ya kizazi cha nyoka
Na ukakubali kubeba huu msalaba wa ukombozi
Hizi kashfa ndo’ changamoto zisikutoe machozi
Sitosahau campaign zako za mwaka 2005
Nilichomwa na jua nikingoja upite nipunge mkono
Traffic aliyepangwa saa moja kisha ukapita saa saba
Akiwa na stress za mwanae shuleni kafukuzwa ada
Leo mna nyumba mna mashamba mna viwanja mna viwanda
Mi nasaga na rhumba na mshahara wangu haujapanda
Yule traffic maisha magumu aaah muogopeni Mungu
Nikisema it is not fair mnataka mnifunge pingu
Gerezani kesi za wanyonge cheki zinapigwa tarehe
Jamhuri itafata mkondo ee mola wangu wasamehe
Wasaliti kama Eskarioti mbele ya Yesu Mnazarethi
Wa sakramenti ya ekaristi bado hawaitaki torati!!
Harakati ndo’ jadi siogopi hadi wanichape mjeledi
Hadi yuddi alikuwa shahidi kwa vinanda na vinubi
Elimu yetu bahati nasibu kama mikopo ya desi
Kimbilio la waliofeli ni ualimu na upolisi
Wamefisadi tenda ya rada, ndege ya raisi, magari ya jeshi
Wote matraitor sasa skrepa kama Lubumbashi
Wanapata alama za juu kwa kumuhonga penzi professor
Mtunza pesa wa benki kuu kumbe pepa zote alidesa
Au unataka 2010 mapinduzi yawe ya Liberia
Eti utajiri ni mbuga, milima na ziwa Vicktoria
Piga vita ujinga, umasikini na H.I.V carriers
Askofu kutawala nchi hatutaki hizo elimu dunia
Migomo ya chuo kikuu naitupia jicho la 3
Sitetei mpaka Rutashoborwa akiwa wakili kisutu
Kul - nafs - dhal - kal - maut inasema torati
Rest in peace shusha bendera ipepee nusu mlingoti
Bungeni hawaijadili bajeti ya mlala hoi
Mtu hataishi kwa mkate bali neno siyo divai
Tazama timu yako iliyoko madarakani
Na mchunguze kwa makini anayelia sana msibani.

CHORUS

Walimu si mlituahidi mtatupa hela zetu vipiii…?Badooo
Mitihani si mliahidi haitavuja tena….woooooh
Nachingwea na Mbeya vipiii…?Badooo
Tabora…?Badooo
Mtwara…?Badooo
Maisha bora kwa watanzania nyie wenyewe mlituambia
Wamachinga…?Badoooo
Wakulima…?Badooo
Ajira kwa vijana na maendeleo kwa kina mama
Wazee…?Badooo
Vyuo vikuu…?Badooo

VERSE….3

Huu sio wakati wa kuwaua maalbino
Angalau mapinduzi kama Macio Maximo
Usihangaike kumtafuta Roma…mi!! Hakimu wa getho
Mwenye sauti ya mamlaka!!! iliyomfikisha Mrombo Keko
Baada ya kukemea ufisadi na sera za Karamagi
Na waliokula jasho letu kwenye migodi ya Buzwagi
Utazuia vipi ongezeko la wimbi la ukeketaji…
Wakati Ngariba ndo’ diwani wa kata kwenye kijiji!!
Neither do I…!! hongera ulipima ukimwi
Watanzania nasi tuamke tusimpige kibao tu Mwinyi
Hapa nagundua aya-tul - munafik - thalatha
Inawezekana aliishia alifu wakati anasoma madrasa
Huu sio muda wa kujadili kesi za Manji na Mengi
Hayo ya Mungu we Kaisari jadili mambo ya msingi
Teacher alipojiita mtabiri Tanganyika wote vipofu
Padre wa kwanza pentekoste ubatizo wa maji marefu
Machozi yalinitoka Segera watoto hawapati haki
Wengi wamekimbia shule basi lije wauze visheti
Wanaosomeshwa kwa mtaji wa chapati na uvuvi wa samaki
Wabunge wao wamekaa na wanajiita wanaharakati!!
Rudi kwenu kahamasishe nduguzo hawana taaluma
Wazaramo wamegoma soma still mwali wanamcheza ngoma
Wanalia Kilwa Kivinje huku wanaocheka ni wabunge
Walionunua kura ya bibi kwa kumuhonga doti ya kitenge
Hata wamasai walikuchagua kwa kura nyingi za upendo
Wakiamini mtetezi yuaja wa jimbo la Oldoyo Sambo
Waambie what is going on ndani ya himaya ya bwawa la Mtera
Waonyeshe na mikataba ya utawala wa mgodi wa Kiwira
Jeshi lote kwenda Tarime hawakuwa na njia mbadala
Na walioteketea Mbagala!!
Mr.pres …. Haya masikharaaaa!!!
Sina maana utoke wewe hicho kiti umuachie professor
Nisamehe kama nakosea maana mimi sio mwanasiasa
Claps claps claps

OUTRO
By…Mwl...Julius Kambarage Nyerere
Kwa hiyo kitu kimoja tunataka kuelewa…
ni hali ya matatizo ya nchi yetu yalivyo sasa hivi....Eee!!
Kwasababu...sera ya...ay..…awamu ya kwanza…. awamu yangu mimi…
imefanya mema…. imefanya ya kijinga….
ya kijinga yanaachwa…!! lazima yaachwe….
Ubaya wenu ni kwamba…. mnaacha mema...mnachukua ya kijinga.


NB: NIMEIPENDA SANA HII KITU NA HIVI NDIVYO WASANII WANAVYOTAKIWA KUFANYA ATI
 
Huyu jamaa na mkubali sana kwa kazi zake ni nzuri na zina zungumzia maisha halisi tuliyo nayo Watanzania.....Kuna watu walijitokeza na kumwambia hapunguze ukali wa mashairi yake kwa (Mkulu).

Niusikiapo huu wimbo huwa napata matumaini kuwa kama msanii tu anaweza kuimba hivi basi ipo siku hii nchi itakombolewa na vjn toka kwa hawa mafisadi wanaoendelea kuturudisha kwenye umaskini kila siku.....

Mungu ibariki kazi ya mikono yangu ili familia yangu ipate mkate wa kila siku maana nimekata tamaa na hali ya nchi yangu Amen!!!
 
wakati wasanii wengine wanatoa beti za namna hii wengine wanahamasisha kuchangia ccm!

hebu tuwekeee na video au audio yake tafanyali
 
Daaah huu wimbo nimeshausikia ila kweli huu utunzi sikua makini kuusikiliza kwa kina, Huyu msanii anafaa kupata tuzo ya Msanii Bora Mzalendo wa Tanzania 2009/10, sio wale kina mbagala na kamuambie full kuimba mapenzi mapenzi ambayo hayana faida kwa mlala hoi amabe hana hela kwa hiyo hajala chakula na hayo mapenzi atafanyaje kama hajamfia mtu kifuani. Wasinii wetu wabadilike waimbe vitu vianvyoikosoa serikali na kelimisha jamii bila kuogopa kwani kila binadamu ana haki ya kueleza hisia zake bila kumtukana mtu.Kazi kuimba ANANIPENDA ANANIPENDA NAMPENDA NAMPENDA......., Je hatuna la kusikia la maana zaidi ya hayo..............? #@#%$^$&$ zenu.
 
Huyu ni mzalendo wa kweli. Mwacheni aseme yaliyo moyoni. Si mmesikia wameanza kung'atuana huko Iringa?
Bado tunasubiri ile nchi ya ahadi ya maishabora kwa kila MTZ. Lakini caution ni kuwa lazima tuwe na akili za MBAYUWAYU kwa vile 315k hatuna uwezo nazo.
 
Huyu dodo yuko safi ile mbaya ila nimesikia akilalamika nyimbo zake zimepigwa marufuku kupigwa redioni hasa vedeo zake kwenye luninga na serikali. source clouds fm
 
Huyu dodo yuko safi ile mbaya ila nimesikia akilalamika nyimbo zake zimepigwa marufuku kupigwa redioni hasa vedeo zake kwenye luninga na serikali. source clouds fm

Kama hiyo ni kweli basi kaka hii ni hatari kabisa na huu uhuru wa kujieleza uko wapi? Dogo kama huyu huwezi kumkuta katika matangazo ya CHANGIA CCM kama wengine
 
dah umenikuna ku mtima wangu nimemkubari kijana, tunataka
vijana wenye mitazamo kama hiyo,
huyo dogo hata akiambiwa maisha bora kwa kila mtanzania, lazima atahoji
badala ya kupiga makofi ka' b'wege, big up sana kijana
 
Huyu dodo yuko safi ile mbaya ila nimesikia akilalamika nyimbo zake zimepigwa marufuku kupigwa redioni hasa vedeo zake kwenye luninga na serikali. source clouds fm
Ya kweli haya!??
Basi tumeisha..
 
SONG MR-PRESIDENT
ARTIST R.O.M.A
PRODUCER J-RIDER + YUDDI
STUDIO TONGWE RECORDS
CONTACTS R.O.M.A- 0717-72007_?
romabraq@yahoo.com
INTRO
By…..Mwl. Julius Kambarage Nyerere
Ikulu ni mahali patakatifu, ikulu ni mahala patakatifu,
Mimi sikucha guliwa na wananchi wa Tanzania
Kuja kupageuza kuwa pango la walanguzi
Claps claps claps
By…Roma
Drop drop drop drop drop yop
Haaa haaa… yes Surprise …Tongwe records
We are here for revolution wooord
Mr. president ..welcome to white house
Thank you….aaaah …thank you ….yeaaah

VERSE….1
Mi ndo' roma mkatoliki mwenye asili ya kiyahudi
Mpare wa milimani sa lamu ya kikwetu urewedi
We ni mkwere wa chalinze ambaye hutamsahau mnyakyusa...(Mwakyembeee)
Aliye wafundisha monduli siasa
Aliyekula kiapo kwa agano jipya la wakorintho
Siyo msabato mwenye siasa za kubattle kama Zitto
Mwenye wito wa Appocalypto husssle za Kambikatoto
Msaka ndoto kama kristo shujaa kama Mrisho Mpoto
Jasiri kama Mandela busara kama Nyerere
Niliyejificha mapangoni mithili ya Otango Osale
So usinidanganye kwa uchawi waaa kutumia ndulele
Au vita vya majimaji nife kama Kinjekitile
Hatutaki siasa za kale, siku hizi tunawahi kubalehe
Nawapa pole wakazi wote wa Tandale kwa Mtogole
Akhsante Sheikh umeniita ikulu sio kisa nina nyota ya mshale
Najua mvi sio busara ila naomba amani itawale
Ikulu yako ina thamani zaidi ya falme za kiarabu
Cha ajabu hawaithamini na inapoteza thawabu
Taifa lilikutabri tangu enzi ukiwa waziri
J.K wa 2 utakuja ongoza hii serikali
Yenye vilio kote kama kina mama wa Galilaya
Wanaoutafuta ukombozi wasimamishe Pobilahaya
Viongozi wetu ni mafia na mabeautifull lier
Nilikuwa na ndoto hizo ila bado hawaja niinspire

CHORUS
Pagani si mlituahidi mtamwaga na lami vipiii?...Badoooo
Wanafuzi mlituahidi walimu mtawaleta!!...woooh
Morogoro na Tanga vipiii?Badooo
Dodoma…?Badooo…
Kigoma…?Badooo..
Maisha bora kwa watanzania nyie wenyewe mlituambia
Manurse…?Badooo
Mapolice…?Badooo
Ajira kwa vijana na maendeleo kwa kina mama
Watotoo…?Badooo
Kina mamaaa…?Badoooo

VERSE….2

Inafahamika ulipewa nchi angali imeshachafuka
Uongoze hii familia kubwa ya kizazi cha nyoka
Na ukakubali kubeba huu msalaba wa ukombozi
Hizi kashfa ndo' changamoto zisikutoe machozi
Sitosahau campaign zako za mwaka 2005
Nilichomwa na jua nikingoja upite nipunge mkono
Traffic aliyepangwa saa moja kisha ukapita saa saba
Akiwa na stress za mwanae shuleni kafukuzwa ada
Leo mna nyumba mna mashamba mna viwanja mna viwanda
Mi nasaga na rhumba na mshahara wangu haujapanda
Yule traffic maisha magumu aaah muogopeni Mungu
Nikisema it is not fair mnataka mnifunge pingu
Gerezani kesi za wanyonge cheki zinapigwa tarehe
Jamhuri itafata mkondo ee mola wangu wasamehe
Wasaliti kama Eskarioti mbele ya Yesu Mnazarethi
Wa sakramenti ya ekaristi bado hawaitaki torati!!
Harakati ndo' jadi siogopi hadi wanichape mjeledi
Hadi yuddi alikuwa shahidi kwa vinanda na vinubi
Elimu yetu bahati nasibu kama mikopo ya desi
Kimbilio la waliofeli ni ualimu na upolisi
Wamefisadi tenda ya rada, ndege ya raisi, magari ya jeshi
Wote matraitor sasa skrepa kama Lubumbashi
Wanapata alama za juu kwa kumuhonga penzi professor
Mtunza pesa wa benki kuu kumbe pepa zote alidesa
Au unataka 2010 mapinduzi yawe ya Liberia
Eti utajiri ni mbuga, milima na ziwa Vicktoria
Piga vita ujinga, umasikini na H.I.V carriers
Askofu kutawala nchi hatutaki hizo elimu dunia
Migomo ya chuo kikuu naitupia jicho la 3
Sitetei mpaka Rutashoborwa akiwa wakili kisutu
Kul - nafs - dhal - kal - maut inasema torati
Rest in peace shusha bendera ipepee nusu mlingoti
Bungeni hawaijadili bajeti ya mlala hoi
Mtu hataishi kwa mkate bali neno siyo divai
Tazama timu yako iliyoko madarakani
Na mchunguze kwa makini anayelia sana msibani.

CHORUS

Walimu si mlituahidi mtatupa hela zetu vipiii…?Badooo
Mitihani si mliahidi haitavuja tena….woooooh
Nachingwea na Mbeya vipiii…?Badooo
Tabora…?Badooo
Mtwara…?Badooo
Maisha bora kwa watanzania nyie wenyewe mlituambia
Wamachinga…?Badoooo
Wakulima…?Badooo
Ajira kwa vijana na maendeleo kwa kina mama
Wazee…?Badooo
Vyuo vikuu…?Badooo

VERSE….3

Huu sio wakati wa kuwaua maalbino
Angalau mapinduzi kama Macio Maximo
Usihangaike kumtafuta Roma…mi!! Hakimu wa getho
Mwenye sauti ya mamlaka!!! iliyomfikisha Mrombo Keko
Baada ya kukemea ufisadi na sera za Karamagi
Na waliokula jasho letu kwenye migodi ya Buzwagi
Utazuia vipi ongezeko la wimbi la ukeketaji…
Wakati Ngariba ndo' diwani wa kata kwenye kijiji!!
Neither do I…!! hongera ulipima ukimwi
Watanzania nasi tuamke tusimpige kibao tu Mwinyi
Hapa nagundua aya-tul - munafik - thalatha
Inawezekana aliishia alifu wakati anasoma madrasa
Huu sio muda wa kujadili kesi za Manji na Mengi
Hayo ya Mungu we Kaisari jadili mambo ya msingi
Teacher alipojiita mtabiri Tanganyika wote vipofu
Padre wa kwanza pentekoste ubatizo wa maji marefu
Machozi yalinitoka Segera watoto hawapati haki
Wengi wamekimbia shule basi lije wauze visheti
Wanaosomeshwa kwa mtaji wa chapati na uvuvi wa samaki
Wabunge wao wamekaa na wanajiita wanaharakati!!
Rudi kwenu kahamasishe nduguzo hawana taaluma
Wazaramo wamegoma soma still mwali wanamcheza ngoma
Wanalia Kilwa Kivinje huku wanaocheka ni wabunge
Walionunua kura ya bibi kwa kumuhonga doti ya kitenge
Hata wamasai walikuchagua kwa kura nyingi za upendo
Wakiamini mtetezi yuaja wa jimbo la Oldoyo Sambo
Waambie what is going on ndani ya himaya ya bwawa la Mtera
Waonyeshe na mikataba ya utawala wa mgodi wa Kiwira
Jeshi lote kwenda Tarime hawakuwa na njia mbadala
Na walioteketea Mbagala!!
Mr.pres …. Haya masikharaaaa!!!
Sina maana utoke wewe hicho kiti umuachie professor
Nisamehe kama nakosea maana mimi sio mwanasiasa
Claps claps claps

OUTRO
By…Mwl...Julius Kambarage Nyerere
Kwa hiyo kitu kimoja tunataka kuelewa…
ni hali ya matatizo ya nchi yetu yalivyo sasa hivi....Eee!!
Kwasababu...sera ya...ay..…awamu ya kwanza…. awamu yangu mimi…
imefanya mema…. imefanya ya kijinga….
ya kijinga yanaachwa…!! lazima yaachwe….
Ubaya wenu ni kwamba…. mnaacha mema...mnachukua ya kijinga.


NB: NIMEIPENDA SANA HII KITU NA HIVI NDIVYO WASANII WANAVYOTAKIWA KUFANYA ATI

Nasikia ana nyingine kali kuliko hii yaitwa Tanzania..una lyrics zake mkuu!???
 
Garbido populism geared at capturing the Nyerere revering Borgs in Tanzania.

Wewe mtu mweusi tii utajiitaje Myahudi?

Ndio hawa wale wale wanajipimp kuwa agents wa change halafu kesho keshokukutwa mkiwakuta kwenye matangazo ya CCM complete with Green and Yellow T-Shirts mnakuwa disappointed.

This does not impress me at all.
 
Huyu anaimba nyimbo za ukombozi , maana utawala wa sasa ni wakinyonyaji kushinda wakikoloni
 
Garbido populism geared at capturing the Nyerere revering Borgs in Tanzania.

Wewe mtu mweusi tii utajiitaje Myahudi?

Ndio hawa wale wale wanajipimp kuwa agents wa change halafu kesho keshokukutwa mkiwakuta kwenye matangazo ya CCM complete with Green and Yellow T-Shirts mnakuwa disappointed.

This does not impress me at all.

Kama ulisoma bongo hukusoma kiswahili kiasi cha kujua SANAA ni nini na vitu kama tungo,fanani,maudhui ,hadhila..............na jukumu la kutafsiri tungo ni la nani!
The same in english ART.............

Ukitaka ibaki kama ilivyo ni kwamba kuna Wayahudi weusi kama mkaa kama una exposure utalijua hili.So do your homework .
 
Kama ulisoma bongo hukusoma kiswahili kiasi cha kujua SANAA ni nini na vitu kama tungo,fanani,maudhui ,hadhila..............na jukumu la kutafsiri tungo ni la nani!
The same in english ART.............

Ukitaka ibaki kama ilivyo ni kwamba kuna Wayahudi weusi kama mkaa kama una exposure utalijua hili.So do your homework .

Huu utumbo wa ku ride the populist wave, complete with formulaic Nyerere clips ndiyo unaona art?

Huyu self loathing black african Jew wannabee ndiye unamuona artist?

No wonder kesho keshokutwa vichwapanzi hawa hawa wakipanda jukwaani na bendera ya CCM kuna watu kama JMushi wanataka ku commit suicide kama wamepigwa kibuti na demu siku ya harusi.

I can see clearly through all this BS, nothing new or impressing here. As a matter of fact I see a vile and juvenile attempt at greatness, and I can go at it line by line, toe by toe, buck by buck.

Just dare me.
 
Huu utumbo wa ku ride the populist wave, complete with formulaic Nyerere clips ndiyo unaona art?

Huyu self loathing black african Jew wannabee ndiye unamuona artist?

No wonder kesho keshokutwa vichwapanzi hawa hawa wakipanda jukwaani na bendera ya CCM kuna watu kama JMushi wanataka ku commit suicide kama wamepigwa kibuti na demu siku ya harusi.
I can see clearly through all this BS, nothing new or impressing here. As a matter of fact I see a vile and juvenile attempt at greatness, and I can go at it line by line, toe by toe, buck by buck.

Just dare me.

Hapo pekundu kheri mimi sijaona ahaaaaaaaaaaa the guy 'll come swinging
 
Garbido populism geared at capturing the Nyerere revering Borgs in Tanzania.

Wewe mtu mweusi tii utajiitaje Myahudi?

Ndio hawa wale wale wanajipimp kuwa agents wa change halafu kesho keshokukutwa mkiwakuta kwenye matangazo ya CCM complete with Green and Yellow T-Shirts mnakuwa disappointed.

This does not impress me at all.

Wewe mtu mweusi tii utajiitaje Myahudi?
If this is the case then umepotoka wapo wayahudi weusi tii just for your information (Tazama picha hapo chini)!!!!!!! Halafu mkuu pamoja na kwamba ni haki yako kupinga au kuwa na maoni tofauti juu ya wimbo wa msanii huyu, U have taken it too personal na kusahau kwamba hii ni fasihi!

vexikj.jpg



Ndio hawa wale wale wanajipimp kuwa agents wa change halafu kesho keshokukutwa mkiwakuta kwenye matangazo ya CCM complete with Green and Yellow T-Shirts mnakuwa disappointed. - Hii ni mojawapo ya maana na gharama za demokrasia.
 
Wewe mtu mweusi tii utajiitaje Myahudi?
If this is the case then umepotoka wapo wayahudi weusi tii just for your information (Tazama picha hapo chini)!!!!!!! Halafu mkuu pamoja na kwamba ni haki yako kupinga au kuwa na maoni tofauti juu ya wimbo wa msanii huyu, U have taken it too personal na kusahau kwamba hii ni fasihi!

vexikj.jpg



Ndio hawa wale wale wanajipimp kuwa agents wa change halafu kesho keshokukutwa mkiwakuta kwenye matangazo ya CCM complete with Green and Yellow T-Shirts mnakuwa disappointed. - Hii ni mojawapo ya maana na gharama za demokrasia.

Hao ndio wale wale self loathing blacks wanaotaka kujitoa kwenye blackness.

The only black Jews I know are the Falashas, and they are not "weusi tii" wametyoka Ethiopia huko.

The Jewish religion -if you are talking about this in religious context- wants nothing to do with blacks, just try to go to a Jewish Synagogue and see.

Kijana at best anaweza kuwa anahitaji maelekezo kuhusu lines gani aondoe, na lines gani aongeze.

He is not the next bets thing he is trouted out to be.First of all he invests too much in religiosity and the scriptures while religiosity and the scriptures are nothing buit the oppressors tool.How can you fight the oppressor by using his very own tools of oppression?
'
'
 
Back
Top Bottom