KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
WAKUU,
Naomba kwenu weledi wa politic hivi CCM itapata athari zozote kutokana na kufuata mfumo wzamani wa kura ya maoni kutoka kwa wananchi??Je kubwagwa kwa wabunge takribani 70 kunamtikisiko wowote kwenye chama??
Je walioshindwa wanaweza kutimkia vyama vingine vya upinzani??
:A S 39:
Naomba kwenu weledi wa politic hivi CCM itapata athari zozote kutokana na kufuata mfumo wzamani wa kura ya maoni kutoka kwa wananchi??Je kubwagwa kwa wabunge takribani 70 kunamtikisiko wowote kwenye chama??
Je walioshindwa wanaweza kutimkia vyama vingine vya upinzani??
:A S 39: