Mangandula
Senior Member
- Nov 30, 2011
- 184
- 37
Mie nataka kununua gari lakini nitakuamini vipi kuwa wewe siyo tapeli kama matapeli wengine? Maana mimi nataka toyota Funcargo lakini hofu imenijaa, waTZ hatuaminiani kabisa!.
Kaka nina 4Mil naweza pata gari gani hapo ofisini kwako?
kama unashida na gari la kutoka japan naomba unitafute ni kupe bei ya magari.Unachatakiwa kufanya unaniambia aina ya gari mwaka na rangi unayopenda,nitakupa bei ya kununua FOB kulisafirisha na kuli-clear bandari utakuja kulichukua officen likiwa na namba zake karibu sana.
unawza kunipigia moja kwa moja kupitia na mba hii ya japan +818046886066 au +25575342450 pia barua pepe info@cesmatrade.co.tz malipo yote yatafanyika baada ya kupata gari lako.
Ni gari aina gani ndg yangu ? Autorec wana agent wao hapa Dar na ndio huyo aliyekupigia ni lazima apate kamishemi yake !! Jaribu kuangalia Beforward hawana longolongo na bei zao ni reasonable mie naagiza kwa Mara kwa mara
Ni gari aina gani ndg yangu ? Autorec wana agent wao hapa Dar na ndio huyo aliyekupigia ni lazima apate kamishemi yake !! Jaribu kuangalia Beforward hawana longolongo na bei zao ni reasonable mie naagiza kwa Mara kwa mara