Hebrew
JF-Expert Member
- Jul 3, 2008
- 559
- 167
Kwa kuongezea, malori, mabasi na pickups (pamoja na d/cabin) hazina kodi ya uchakavu. Yaani unaweza kuleta la mwaka wowote na kodi zake ni 25% import duty, 20% VAT. Nipo kwenye process ya kutoa d/cabin ya 1993. Kwa sasa pale TRA hapafai kabisa...magari mengi wana "uplift" bei ..BALAA TUPU!!