kumwambia "tufunge ndoa"

Hii Kweli JF!
Wakati unnaanza nae ulimwabiaje?
Ngoja nikusaidie
Unaanza
Honey wewe ni Blueband kwenye mkate wangu....
wewe ni mboni ya jicho langu! Wewe ni blanket kila ninapopata baridi........
Bila wewe mimi sina sababu ya kuishi dunia hii..... nataka kuishi na wewe maisha yangu yote......
Would you Marry Me.....!
Try that
Ila usiwe kama wale wenye ukoma 9 ukifabikiwa kuambiwa yes!!!!!!!
 
One word....sponteinity - straight from the heart. You do not necessarily need champagne and caviar.
 
Back
Top Bottom