watu wengi wanasema hasa jinsia ya kike,eti kumwambia mpz wako nakupenda kwa kila wakati ni vibaya kwasabu eti unampa kichwa na kujionesha kuwa unampenda sana.je ipo sawa?
Kumwambia sio vibaya sababu watu hupenda kukumbushwa na kusifiwa hata kama wanajua unawadanganya..., ila actions speaks louder, huwezi ukawa unampa kichapo kila siku na kumdharau na kumdhalilisha alafu unasema nakupenda (huenda hilo neno likaloose meaning likawa kama kejeli)watu wengi wanasema hasa jinsia ya kike,eti kumwambia mpz wako nakupenda kwa kila wakati ni vibaya kwasabu eti unampa kichwa na kujionesha kuwa unampenda sana.je ipo sawa?
Kumwambia sio vibaya sababu watu hupenda kukumbushwa na kusifiwa hata kama wanajua unawadanganya..., ila actions speaks louder, huwezi ukawa unampa kichapo kila siku na kumdharau na kumdhalilisha alafu unasema nakupenda (huenda hilo neno likaloose meaning likawa kama kejeli)
Mbona neno nakupenda lilisha loose meening zamani
Mbona neno nakupenda lilisha loose meening zamani
Mhh Asante rafiki.., with friends like you around I Feel Blessed.., Asante SanaHilo nalo neno!
Hope u mzima rafiki!
Stay blessed.
Kila saa
Kila dakika ni
uzushi tu huo......
Mbona neno nakupenda lilisha loose meening zamani
Wakuu inategemea ni nani analisema kama ni mtu unayempenda basi halitaloose meaning na litakuwa "MUSIC" to your ears..
Tatizo ni kwamba watu wakishakuwa pamoja wana-take each other for granted.., yaani wanaona ni haki yao kupendwa..., mbona watu huwa hawalaumu wakati mapenzi yanapoanza na yapo bado moto moto...,
Ni kama Muziki unapokuwa wa zamani na baada ya kuusikiliza sana unapoanza kukuboa na kuchuja tatizo sio kwamba wimbo umekuwa mbaya bali ni kwamba msikilizaji ameanza kuuchoka
Kutenda haki ni pamoja na kutoa stahili husika za mlengwa, Nakushauri kumpa sifa mpenz wako pale inapobidi. All the best mkubwa!watu wengi wanasema hasa jinsia ya kike,eti kumwambia mpz wako nakupenda kwa kila wakati ni vibaya kwasabu eti unampa kichwa na kujionesha kuwa unampenda sana.je ipo sawa?