Kumuita Kikwete Dr. sio "kuchakachua" usomi?

wewe ndo kilaza zaidi na zaiditena zombizombi kama waliweza kulipa makampuni feki shilingi 152,000,000
kwa siku ni shilingi ngapi kwa mwezi? kwanini watoto wasisome bure? wewe huna tofauti na hao mafisadi umeishiwa mawazo na hujui unaongea nin. bora ukaae kimya ninyi ndo mmezoea kusema tanzania ni masikini wakati tanzania ni taifa lenye neema na baraka tele ila mafisadi ndo wanafaidi.:grouphug:

Kaka usibishane na huyu mtu, hawa ndiyo wasaliti na wanafiki wakubwa - kwenye msafara wowote mijitu mibishi kama hii huwa haikosekani. Hakumbuki kipindi cha uongozi wa mwalimu elimu ilikuwa bure na bora toka msingi mpaka chuo kikuu tena wakati huo kulikuwa hakuna uwekezaji kama ilivyo sasa, huyu jamaa anaelewa kila kitu lakini kaamua kubisha bila sababu za msingi.

Hawa hawa viongozi wanasaidia kufilisi nchi wamesoma kipindi hicho hicho cha mwalimu, leo hii wamesahau yote mema waliotendewa katika taifa hili nasema hii ni dhambi na itawatafuna mmoja baada ya mwingine, malipo ni hapa hapa duniani.
 
udaktari wa slaa ni sawa na form 6....wa kutoa sacramenti....na kufungisha ndoa....hamna kitu hapa.....udaktari wa kikwete ni wa heshima baada ya kufanya ubunifu mwingi kwa maendeleo ya watanzania...
Hata phd ni reseach work tu.....sasa kama umefanya mengi kwa ubunifu basi unastahili phd...uelewa wake ni zaidi ya aliekwenda chuo kikuu.
Wacheni wivu...jamaa ni zaidi na zaidi
kwa kukandia Phd ya Slaa, kumpamba Jk, Macos Unatisha. Ungeangalia mahojiano ya Slaa na Masako wa ITV juzi ungepata picha kwa nini JK na CCM wanaogopa mdahalo kama ukoma. Dr.Slaa ameiva, haegeshi, amesheheni, ameelimika. kweli Jk ni mbunifu, amekwepa mdahalo alijua utumvua nguo.
 
HAHA HIYO PICHA SI MTU ANGALIA TENA... NI KIKARAGOSI KINAKOJOLEA TAIFA LA VILAZA, alafu mimi siye niliyetoa ahadi ya kusomesha BURE

yaani elimu bure kuanzia nursery school hadi Uni.. tatizo slaa anafkiri wa tz woote ni vilaza kama yeye tunaweza kuamini ahadi kama hizo ! mathematically hiyo kitu ni impossible katika nchi yenye watu million 40 .

TAIFA LA VILAZA????
NINAWASIWASI NA KICHWA CHAKO, kunanati zimelegea!
 
udaktari wa slaa ni sawa na form 6....wa kutoa sacramenti....na kufungisha ndoa....hamna kitu hapa.....udaktari wa kikwete ni wa heshima baada ya kufanya ubunifu mwingi kwa maendeleo ya watanzania...
Hata phd ni reseach work tu.....sasa kama umefanya mengi kwa ubunifu basi unastahili phd...uelewa wake ni zaidi ya aliekwenda chuo kikuu.
Wacheni wivu...jamaa ni zaidi na zaidi

Una data na unayosema? 'Intellectual humility' inataka utafiti kwanza kabla ya kusema na siyo kusema kwanza halafu ndiyo utafiti.
 
udaktari wa slaa ni sawa na form 6....wa kutoa sacramenti....na kufungisha ndoa....hamna kitu hapa.....udaktari wa kikwete ni wa heshima baada ya kufanya ubunifu mwingi kwa maendeleo ya watanzania...
Hata phd ni reseach work tu.....sasa kama umefanya mengi kwa ubunifu basi unastahili phd...uelewa wake ni zaidi ya aliekwenda chuo kikuu.
Wacheni wivu...jamaa ni zaidi na zaidi

Isn't this intellectual masturbation?
 
Aliambulia kuvaa joho tu....mtu una PhD lakini speech unadesa...wapi na wapi

3.JPG

JK, hakuna atakayekunyang'anya hiyo phd honoris causa yako isipokuwa Chuo Kikuu cha Kenyatta! Wengine watapiga kelel za bure!
 
Akitaka uDr afanya presentation kwenye kuta nne, ndani ya room temperature na wazee wa vipara na miwani waaprove au wakate. Udr haupatikani TBC 1 !
 
Wewe ni Mjinga,kwa upuuzi ulioandika hapo juu unamaanisha kila mtu anaweza kuwa kama Einstein,Newton hakuwa Genius, na wanaofeli Mitihani shule hawana Bidii.Kuna kitu kinaitwa IQ,kama hazitoshi kuna vitu hata ukeshe kuanzia siku unazaliwa hutaweza kuvifanya kamwe.

Acha kupotosha jamii kuwa kila mtu anaweza kupata PhD,actually less than 10% of the world population can claim this title.

Tukivua nguo sote itakuwa vigumu kujuwa mjinga ni nani kati yangu na yako au nani kichaa zaidi. Nime sema hivi mtu yeyote yaani Pwagu na Pwaguzi anaweza kupata hiyo Ph.D as long as some one has 100% IQ ili mradi asiwe tahira. Na kwa taarifa yako asilimia zaidi ya 70% ya Watanzania wana IQ zaidi ya 100% na ndiyo maana nikasema karibu kila mtu humu Jamii Forum anaweza akaipata hiyo Ph.D pamoja na wewe naamini unakaribia hiyo 100% IQ.

Kila mtanzania aliyemaliza Kidato cha sita siyo kwa kubebwa na wazazi ana uwezo wa kuhenyea na kuipata hiyo Ph.D kama atakuwa na umakini na jitihada ya kupata shahada ya kwanza, ya pili na hatimaye kufaulu vizuri kuweza kupata admission ya Ph.D. lakini siyo kila mwenye Ph.D anaweza kutunukiwa Doctorate Degree (Honaris Causa) kama hilo ulijuwi rudi darasani kasome upya.

Honorary Degree haiokotwi mtaani inatolewa kwa kutambuliwa kwa mchango mtu alioutoa. " Recognation" kama vile zinavyotolewa Nobel Prize na zinginezo zinazofanana na hizo lakini hata wewe unaweza kuipata Ph.D if you have a skin and brain for it:) lakini unaweza kufa na kwa utumbu ulioandika hutoweza kuipata hiyo Honorary Doctorate aliyotunukiwa JK:):smiling:
 
udaktari wa slaa ni sawa na form 6....wa kutoa sacramenti....na kufungisha ndoa....hamna kitu hapa.....udaktari wa kikwete ni wa heshima baada ya kufanya ubunifu mwingi kwa maendeleo ya watanzania...
Hata phd ni reseach work tu.....sasa kama umefanya mengi kwa ubunifu basi unastahili phd...uelewa wake ni zaidi ya aliekwenda chuo kikuu.
Wacheni wivu...jamaa ni zaidi na zaidi

Hivi kumbe miwanaume mingine inaliwa, huna hata aibu kumlinganisha mtu aliyefanya research na aliyezawadiwa na wanaojikomba kama wewe... Mkapa alipewa nyingi tu kama hizo bt kwa kuwa ni msomi wa kweli hajiiti. Nyie mnaojipendekeza kila kona na elimu zenu za darasa la pili ili mpewe vyeo na wachovu wenzenu mtaishia kuzikana wachovu watupu. Najua huyo unayemsifia kufanya mengi kwa ubunifu aliayafanyia mgongoni mwako ndo maana unajitosa kumtetea uozo wake mbele ya wanaume.
 
Bandugu,

Any Tom, Harry and Dick can get a Ph.D na kwa wale ambao wamehenyea na kupata doctorate degree wnanaweza ku-testify kwenye hilo. Mtu yeyote ili mradi anadhamira, nidhamu na anafuata miiko na maadili ya kuwa mwanafunzi wa digrii ya falsafa anaweza kuipata digrii hiyo.

Lakini siyo kila Pwagu na Pwaguzi anaweza kutunukiwa Digrii ya "Doctorate Honaris Causa" ambayo ni watu wachache sana duniani wanatunukiwa Digrii hizo na uwa zinatolewa tu na Vyuo Vikuu kwa kutambua mchango wa mtu binafsi katika suala "Jukumu" muhimu ambalo limeiguza Jamii fulani kutokana na mchango wa huyo aliyepewa.

Kama mtu aliye henyea Ph.D au digrii ya Uzamivu na akaipata heshimiwa kubwa na ya mwisho ambayo anaweza kuipata acha na mambo ya U-Professa ni kutunukiwa digrii ya Doctorate Honaris Causa ambayo ndizo hizo watu Kama akina JK na wengine wamekuwa wakipewa. Swali langu kwenu Je Udaktari wa Dr. Slaa ni wa namna gani?

Kila Ph.D student anaweza kuipata digrii ya Uzamivu akijitahidi na akiwa na uwezo wa kutimiza masharti yake. Lakini si kila Pwagu na Pwaguzi (Tom, Harry & Dick can get a Doctorate Degree (Honaris Causa)) hiyo hutolewa kwa select few. na ni Heshima ya Juu mtu anayopewa ambayo ipo chini ya Nobel Prize katika maeneo mbali mbali.

Tusiwe na tabia ya kuponda kila kitu hata pale tunapokuwa hatukijuwi. Humu katika hili jamvi wengu watakufa bila kupata Honorary Doctorate degree (Honaris Causa) lakini yeyote anaweza kuhenyea na kuipata hiyo Ph.D ambayo Slaaa anayo.:dance::whistle:
Pathetic.

Wadanganyika bana, they will find excuse for Everything..but will find solution for Nothing.

Degree za heshima wanapewa individuals wengi sana chini ya jua kwene sayari hii na sijawahi kusikia wakijitambulisha kwa degree zao za heshima..International figures kuanzia akina Clinton, Al Gore etc, hawa watu perhaps more towering figures kwenye mchango wao kwene humanity, sijawahi kuwasikia wakijinadi kama dokta so and so..only in bongo people do this..
 
Mtampa huyo Dakitari... Lakini ukweli utabaki pale... in TZ bila (Ukenya 2007). Tutabaki kila siku bora ya Jana. Remember, alikuja Mwinyi tukasema bora Nyerere, akaja Mkapa tukasema bora Al haji(mzee wa busara), akaja huyu dakitari wa kenya tukasema bora Kibosile Mkapa,,, jamani ina maana ccm wameshindwa kumpata atakaye mpiku man from Mara (Mchonga)... walaau kwa mbali capt. Komba anafaha kuongoza taifa....
 
Hili tatizo naona linazidi kukuwa na litakuja siku kuleta balaa kubwa katika taaluma ya Tanzania. Dr Salim, Dr Kikwete, Dr Karume hawa wamepewa udokta kwa heshima yao na sio kwasababu wamechambua mambo kwa undani na wakapata kitu kipya chenye kuchangia katika ulimwengu wa taaluma (contribution). Sasa hatari yake watu kama hawa unaweza kuta hawana upeo mkubwa wa taaluma na wakiwekwa na wanataalamu wa fani hiyo wanaweza kulitia taifa katika hasara kubwa.

Pia honorary doctorate kama umeziangalia nyingi ni biashara na kuvutia malengo fulani sasa sielewi hili swala watu wenye honorary doctorate wakajiita Madr wakati watuambie wamecontribute nini katika ulimwengu wa taaluma. Pia inavunja moyo wanataalamu ambao wengi wao wamezisotea ile mbaya kuzisoma halafu jitu linaibuka na kujiita Dr kwa udr wa heshima? Ndio maana nasema hizi ni sifa tu kama wale waganga wa kienyeji nao wanajiita madr na maprofessa mfano, Dr Matuge Herbalist, Dr Mtambanamungu, Dr Kajura, Dr Kifimbocheza, Professa maji marefu na list ndefu sifa ndio jadi yetu but vichwani tukiambiwa tusome tunakimbia aibu tupu!!!
 
Katika siku za karibuni utambulisho wa JK kuitwa Dr umepamba moto hasa kupitia TBC1. Kila nikisikiliza taarifa utasikia Dr. Kikwete kafanya hiki, mara kile..Binafsi naona huu ni uchakachuaji wa elimu. Nia hasa ya vyombo hivyo vya propaganda ni kutaka kufananisha usomi wa mgombea wa chama fulani (ambaye ni PhD holder) na wa Kikwete. Binafsi sifurahii sana kusikia mtu aliyepewa heshima tu, kwa sababu zinazojulikana kwa Wakenya waliompa, akijinadi kwa kujiita Dr. In fact, it doesn't sound well! Tusome jamani!:A S angry::glasses-nerdy:

Rais wetu, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, ana "doctorates" mbili kutoka vyuo viwili tofauti!

Fungua hiyo "attachment".

Ni vyuo hivi vinavyoweza kutangua (to rescind) tuzo aliyopata.
 

Attachments

  • kikwete na Doctorates Zake.doc
    157 KB · Views: 39
POle sana wewe na Jk wako ni vilaza na hiyo picha yako ndio maana mtaendelea kupata vichapo kutoka kwa wababe wa dunia Israel,JK kuitwa au kujiita Dr ni kosa la jinai nyie mnaomuita Dr JK hasa kwenye vijiblog vya akina Michuzi ndo hasa wanazidi kila siku oooh Dr Jk kafanya hivi mbona akila mizinga hamsemi Dr JK leo kala mzinga acheni unafiki.Waambieni na hao TBC hiyo channel sio ya CCM.Hatudanganyiki DR Willbrod Slaaa (PhD)the prezidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa 2010
 
Kwa kweli nimesoma comments nyingi sana kuhusu ili suala na mi nacomment ifuatavyo.kila mtu atunukiwavyo honoraris causa angekuwa direct anaitwa doctor leo hii hata hapa tanzania pasingetosha.hivyo basi anayestahili kuitwa dr ni yule aliyequalify through research tu na si wengineo mana hata mbele za mungu ndo haki yao.ndo mana hata mkapa na nyerere na mwinyi walitunukiwa ila walikataa kujiita ivo mana walilitambua hilo.kikwete kwa sababu ni mpenda masifa ndo maana haoni noma maana ye anachukulia ka ujiko flani in international perception.
 
Hawa wawili wote wanafanana tu, kuna daktari wa kupewa na daktari wa kutoa sadaka.

Hivi ni wapi huko ambako mtu anapata PhD bila ya kuwa na masters au hata bachelor? Tena anapata PhD kwa miaka minne tu wakati hana hata bachelor? Slaa alitoka kuwa na certificates za uchungaji na kwenda kusomea PhD moja kwa moja tena miaka minne.

Hizo zote ni Phd za heshima huko makanisani na kwenye jamii.
 
Tukivua nguo sote itakuwa vigumu kujuwa mjinga ni nani kati yangu na yako au nani kichaa zaidi. Nime sema hivi mtu yeyote yaani Pwagu na Pwaguzi anaweza kupata hiyo Ph.D as long as some one has 100% IQ ili mradi asiwe tahira. Na kwa taarifa yako asilimia zaidi ya 70% ya Watanzania wana IQ zaidi ya 100% na ndiyo maana nikasema karibu kila mtu humu Jamii Forum anaweza akaipata hiyo Ph.D pamoja na wewe naamini unakaribia hiyo 100% IQ.

Kila mtanzania aliyemaliza Kidato cha sita siyo kwa kubebwa na wazazi ana uwezo wa kuhenyea na kuipata hiyo Ph.D kama atakuwa na umakini na jitihada ya kupata shahada ya kwanza, ya pili na hatimaye kufaulu vizuri kuweza kupata admission ya Ph.D. lakini siyo kila mwenye Ph.D anaweza kutunukiwa Doctorate Degree (Honaris Causa) kama hilo ulijuwi rudi darasani kasome upya.

Honorary Degree haiokotwi mtaani inatolewa kwa kutambuliwa kwa mchango mtu alioutoa. " Recognation" kama vile zinavyotolewa Nobel Prize na zinginezo zinazofanana na hizo lakini hata wewe unaweza kuipata Ph.D if you have a skin and brain for it:) lakini unaweza kufa na kwa utumbu ulioandika hutoweza kuipata hiyo Honorary Doctorate aliyotunukiwa JK:):smiling:

Kwa hiyo, ni bora anayetunukiwa 'Honaris Causa' kuliko yule anayetoka jasho kupata PhD. Nikuulize hivi: aliyetoka jasho na kisha kupata PhD na mwingine akapiga usingizi ila akapa 'Honaris Causa' kukatokea wataalamu wanahitajika katika kutafuta ufumbuzi wa jamabo fulani lenye maslahi kwa taifa. Ataenda nani: aliyetoka jasho na kupata PhD au mwenye 'Honaris Causa'? Pili, nchi inaposemekana ina wataalamu kwa kiwango cha PhD, huwa wanazungumzia watu gani wenye PhD ya darasani au wanaotunukiwa PhD ya heshima? Hata mtu anayekuwa proud na PhD yake ni yule aliyetoka jasho. Sidhani kama kuna mkutano wa wale waliopata PhD kutoka vyuo mbalimbali ili kila mtu a'present' paper yake sidhani huyu mwenye 'Honaris Causa' naye ataenda. Ata'present' nini wakati hajafanya paper yoyote?
 
Ukitaka ujue pumba na mchele (read PhD original v PhD fake) waitwe Dr. Slaa na Dr. Kikwete wafanye mdahalo pamoja. Tunajua nani atachemsha (read mwenye PhD fake) Be the judge yourself!
 
Ahh kumbe niliacha mjadala huku .. bahati mbaya huwa ni comment mara mbili sirudi tena kwenye thread .. wengine naona walipandwa na jazba kisa nimesema hicho kikaragosi kinakojolea bendera ya taifa la vilaza nikaletewa list ya watu walioshinda noble price ambao ni jews seriously dude noble price ninazikubali ni zile za watu walio changia 90% katika science yetu ya leo.. kina sir Isaac newton. kina Avicenna Doctors of the doctors mtu muhimu sana huyu katika medical world Avicenna - Wikipedia, the free encyclopedia kama unandugu amabye mwanafunzi wa udactari ask him walisoma nini wakati wakisoma history of mediciine nafkiri ni 3rd year kama sikosei wale ndio real scientist.na wengineo kama hao jews uliwataja wamo basi heshima yangu kwao, noble price hizi za sikuhizi siasa tupu. kwani hadi obama anayo.. seriously!!

kuhusu usomi wa slaa certificate will always remain a certificate .. certificate zake hazina tofauti na za tourism ! lakini jamaa ametoka straight from certificates to PHD canon laws sijui! Phd yake haina maana tafute basi angalau ka bachelor cha elimu dunia.., ndio maana nasema kijana aliye maliza form 6 kizazi hiki cha dot com ni msomi kushinda yeye. kuhusu elimu bure ! asiwadanganye ! mathematically hiyo kitu ni impossible
 
Back
Top Bottom