Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
haaaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa najuaaaaaaaaaaaaaaaa nimekugussssaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ndugu zangu wanandoa embu kuwapenda wake zetu sio tu just kwenye vitanda na kuwaletea mavyakula yasiona idadi..tujue kuwatoa wake zatu outing jamani..wapo wake wanaotamani ..,mpaka leo kutolewa na waume zao na kuna wengine kutolewa outing mpaka ajipake annointing oil..
sasa basi ni vizuri ifike wakati muwe na muda wenu wa binafsi kama faamlia mkae nje ya nyumban mfurah muongee nini cha kufanya kuendeeleza upendo wetu na hilo litasaidia sana ......,maisha ya kuwa pamoja nyumban ni mazuri lakini nje ya nyumba yanabadilisha akili zenu yawezekana akili ikatulia zaidi mkawa mnawaza mtatumalizaje na kodi zetu tunazotoa kila siku na kuwawezesha kutoka kimaisha...outing si lazima mkeo aombe mungu ajipake annointing oil kama 1 SAMWEL 1:10-14 akifanya hivi wanaume mnafanyika kuwa nira na ole uwe nira hukumu ya Mungu utaitambua..ni kweli annointing oil inafungua mambo mengi sana lakini kwa hili jamani embu tufungue macho mwombe MUNGU akupe ufahamu wa jinsiya kuishi na familia..lazima ujue kazi unayoifanya si tu kunulia chakula nyumban ni pamoja na kutoana outing,,mbadilishe mazingira jamani....
Nawatakia Ndoa njema wanandoa wote na watarajiwa
Ndugu zangu wanandoa embu kuwapenda wake zetu sio tu just kwenye vitanda na kuwaletea mavyakula yasiona idadi..tujue kuwatoa wake zatu outing jamani..wapo wake wanaotamani ..,mpaka leo kutolewa na waume zao na kuna wengine kutolewa outing mpaka ajipake annointing oil..
sasa basi ni vizuri ifike wakati muwe na muda wenu wa binafsi kama faamlia mkae nje ya nyumban mfurah muongee nini cha kufanya kuendeeleza upendo wetu na hilo litasaidia sana ......,maisha ya kuwa pamoja nyumban ni mazuri lakini nje ya nyumba yanabadilisha akili zenu yawezekana akili ikatulia zaidi mkawa mnawaza mtatumalizaje na kodi zetu tunazotoa kila siku na kuwawezesha kutoka kimaisha...outing si lazima mkeo aombe mungu ajipake annointing oil kama 1 SAMWEL 1:10-14 akifanya hivi wanaume mnafanyika kuwa nira na ole uwe nira hukumu ya Mungu utaitambua..ni kweli annointing oil inafungua mambo mengi sana lakini kwa hili jamani embu tufungue macho mwombe MUNGU akupe ufahamu wa jinsiya kuishi na familia..lazima ujue kazi unayoifanya si tu kunulia chakula nyumban ni pamoja na kutoana outing,,mbadilishe mazingira jamani....
Nawatakia Ndoa njema wanandoa wote na watarajiwa