Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
- Thread starter
- #101
Nilikuambia asiyekosea ni Mungu tu, ila wewe hata hukuomba msamaha.
Sasa hii WANAKUSHAMBILIA ndiyo nini? Au ndiyo matatizo ya kukaa sana SHAMBA?
Usiwe unawacheka wenzako wakati hujavuka mto bado................
Sasa hii WANAKUSHAMBILIA ndiyo nini? Au ndiyo matatizo ya kukaa sana SHAMBA?
Usiwe unawacheka wenzako wakati hujavuka mto bado................
Wameshaanza kunijadili na kunishambilia binafsi mimi huko juu. Hawana hoja wao ni vita tu. Looh, nimewastukia.