Kumsusa Kikwete, CHADEMA wamevuna mahindi au Mabua?

Naona hata FF kashindwa kuvumilia na kukusahihisha hapo juu. Je una uhakika kuwa safari hii, ni Chadema wameomba wamuone Rais au ni Rais kaomba akutane na vyamba vya upinzani? Maana naona na NCCR nao walikuwa kwa Rais.

Siku nyingine USIKURUPUKE. Ona sasa umevamia mlango wa kushoto.
Ningekubaliana nawe ingekuwa Kikwete alisubiri kutia saini sheria kabla ya kukutana na CHADEMA lakini kwa hali ilivyo ni wazi kuwa CDM waliona hawatopata kitu kuendelea kususa na wao lazima wajitie kwenye Behewa kabla halijaondoka.
Kwa vile mara zote huwa wanasusa na wakirudi ndani sheria zishapitishwa sioni kuwa walisaidia chochote. Kubwa ninaloliona mimi ni kjiuliza nafsini mwangu jee hii ina maana kuwa CHADEMA wanakubali yote yale waliosusa hapo kabla? Pengine na filosofi zako unaweza kunisaidia kuelewa hapo.
 
Kama unalaani sana maandamano, mbona hawa wadogo zako jana tu wameandamana?

Pia nilikuwa sijui chuki yako kwa Slaa, kumbe taifa hili linaongozwa na KANISA? Hivi Kikwete ndiyo Kanisa la Tanzania?

FF, ungelifanya la maana sana kwa kutumia busara zako kusaidia na wengine wafunguke macho. Wakati wewe unashinda hapa unasema Kikwete ndiyo Rais wa Tanzania, kuna wengine wanasema KANISA NDIYO KIONGOZI WA TANZANIA.

777f.JPG

Maandamano ya nchi yanapoamrishwa na serikali kusitishwa ni lazima ufate sheria, hakuna chadema wala ccm ambae yuko juu ya sheria. Na ukiyalazimisha yanakuwa haramu. Jee, hayakuzuiwa kabla? jee, viongozi hawakuyalazimisha? Jee, watu hawakufa? ni nini usichokielewa hapo? Na Jee, sasa walienda Ikulu kwa maandamano au kwa njia rasmi? na walikaribishwa hawakukaribishwa? tena Ritz anasema walipewa Kashata na Kahawa na Juisi. Maandamano yangewafikisha kuandaliwa Juisi na mwenyewe Rais? na picha tuliona, kwa heshima na taadhima.

Na Katibu mkuu wako kisha tamka hapo juu hii sio "isolated case". Unajuwa maana yake?
 
Kama unajua Mungu ndiyo muweza wa yote, umejuaje kati ya Kikwete na Slaa yupi atauona mwaka 2015 salama?

Hayo mapovu yako wapi? Mbona LAPUTOPU yangu bado kavu na nzima kabisa na inadunda kama timu ya Barcelona?

Najua unajua na wewe pia unajua kuwa mie nimeshajua kuwa wewe unajua. Haya mengine, najua wewe "day-thieves" maana u-Sanamu wa Michellen wengine mmeunyonya kama sisi tulivyounyonya ushamba kutoka kwa mama zetu.
Naona hukuyapenda la sivyo usingekuja na kutokwa na mapovu namna hii. Ndio maana nikasema Slaa ni kiongozi wa baadhi tu ya Watanzania, na hata hao baadhi nna uhakika anawapotoa badala ya kuwaokoa. Anaeweza kukuokoa ni wewe na si mimi wala mwengine tunaoamini muokozi wetu ni mmoja tu. Mwenyeezi Mungu peke yake. Angekuwa na uwezo wa kuokoa angejiokoa mkono wake kwanza, halafu angeokoa na ushindi wa Urais, Ubunge na Udiwani na kwa kuongezea, angewaokoa na wale aliwaswaga kwenye maandamano haramu kwenda kutoa roho zao, wengine kujeruhiwa na wengine kupoteza mali zao, kote kama Katibu Mkuu, kabwagwa vibaya sana na hakuweza kujiokoa leo vipi atupigie zumari la kutuokoa? si wote tunaoamini katika kuokolewa na binadam.

Ulitaka Rais atangazwe na nani badala ya NEC? na Katibu Mkuu wa CHADEMA?

Usifikiri katiba ndio inamuweka Rais, ni Watanzania. Kama hatumtaki Slaa, hata afanye maandamno kutwa kucha, hatumtaki tu. Unafikiri hii Egypt?
 
Kama kweli CCM ni mbabe hivyo, kwa nini kupoteza muda wake kuwasikiliza? Ukisikia Yalahh, ujuwe limempata.

Mkapa huko Zenji, hakusikiliza mtu na akauwa kama watu 250 hivi. Kuna kitu kimemkuta hadi leo hii? Nyerere na Mkapa ndiyo walikuwa wababe bana, usinchekeshe. Walisema hakuna na hakuna kweli. Kwa madaraka ya Rais kwa sasa, hahitaji kumsikiliza mtu wa chama chochote cha upinzani kwa sababu Katiba inamruhusu.

Heri mtoto anayesema hatafanya na akafanya kuliko anayesema atafanya na asifanye. TIME WILL TELL.

Mengineyo, acha kulialia ili uonewe huruma. Najua unajua na wewe umeshajua kuwa mie najua kuwa wewe unajua. Wapotosha tu watu.
Nna uhakika huoni raha kama hujaona FF akijibu.

Ulianza kwa kujifanya uko "neutral" lakini nilipoona katika nyuzi yako umeanza kwa post ya FF ambayo ilikuwa nyuzi nyingine kabisa, nikajuwa kuwa hapa mlengwa ni FF na si mwingine.

Mimi nipo na maoni yangu huko juu umeshayaona, nadhani ungeielewa theory hiyo usingekuwa unahaha. Kama theory ilifanya kazi basi ni pale, walipopoteza watu uhai wao kwa kuingizwa mkenge, ile ndiyo ilikuwa reaction ya action.

Kama mswada walioupinga magwanda umesha sainiwa, hiyo reaction haikufanya kazi kwani walisusa, wakataka kuanzisha maandamano wakaminywa na wakaenda kwa Kikwete kwa kusudio la kuzuia asi saini, aka saini. Na hivi sasa, wanakwenda kwa ajili ya kamati inayotakwa kuundwa, hakuna zaidi, kwani mswaada umesha sainiwa na wakiwa na hoja wataipeleka bungeni.

Kumbuka, kuwa wenzako wameona mnhhh, hawa jamaa ndio wameshika dola, tukiendelea na upuuzi wa maandamano na kususasusa hakuna tunachokipata isipokuwa makesi tu. Wamebadili njia na sasa huku wanakokwenda hata mimi nawaunga mkono na nilikuwa nikisema humu JF kabla hawajakutana na Kikwete, jamani hizo si siasa za kususa na kuandamana, ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka, dahhhh walipoonda idadi ya wanaokusanyika kwa maandamno inapunguwa wakaona mnhhhh sasa tunapotea.

Walivypamuwa kumuona Rais na kumkubali kuwa ndio Rais wao, kwani walimsusa kwanza, wamefanya uamuzi wa busara, imewachukuwa muda mrefu lakini si unajuwa magwanda bado ni wadogo kisiasa, hawana uzoefu wakutosha, naona wameanza kukuwa na wanaacha utoto. Nna uhakika kabisa na seminar za kile chama cha siasa cha Kikristo, CDU, zimesaidia sana kuwaweka sawa.

Sasa mmeamuwa kuwacha kususa msitafute pakutokea, kwani ingekuwa Rais kawaita hapo ndio, mliomba wenyewe kukutana nae. Mlitaka awaambie sitaki? haaaa, huyo si mwanadiplomasia aliyebobea kama Kikwete. Unanikumbusha kisa cha kugeuka jiwe kwa anaerudi nyuma, leo humtaki, kesho unamuomba kukutana nae. Na Kikwete alisema yeye ndio Rais na hamna pakwenda zaidi ya kwake. Dahhh, yule mtu anaona mbali, hakuingia Ikulu kwa bahati mbaya.
 
FF, sawa mama/baba umeshinda. Chadema kwa kuandamana hadi wanatisha.

Hapa chini ni wakati wanaandamana huko Zanzibar. Chadema bana.....

Ahh, kumbe unafikiri mie nilikutafuta? Kwa mbali nakiri kuwa nilijua utajileta tu hapa. Sasa leo umeona Utukutu wa Kinyamwezi :)

Please, don't take it personal. PEACE.

 
Last edited by a moderator:
Na wale ma observer waliotoka duniani hawajauona huo wizi, uliuona wewe tu?
Bibie,
International observers hawakuwepo makao makuu ya NEC wakati kura zote zinajumlishwa. Hapo ndipo wizi unapofanyika.
Nilikuwa wakala katika kituo kimoja cha upigaji kura. Wamekuja international observers, wamezungumza na wapiga kura na kutuuliza sisi mawakala zoezi linakwendaje. Wakatoka hapo kwenda kuandika ripoti yao. Lakini kuna ripoti alipewa Kikwete ambayo inaelezea kasoro zilizosababisha iwe rahisi kura kubadilishwa kupendelea mtu mmoja. Kamuulize atakuambia. And by the way, katika kituo changu, kati ya kura 300 zilizopigwa Kikwete aliambulia 31. Na huo ni ukweli mtupu.
 
So far km nimekuelewa bwana/bi Sikonge fact iliyopo hapa ni kwamba pamoja na kwamba ''Chama Chetu'' tumeshinda mbio,tukumbuke aliyetukimbiza siyo! Maana km siyo kulazimishwa perhaps mabadiliko haya (of which mchakato hauko huru sana) yangefikiwa miaka mingi mbeleni!
 
Ili ushinde duniani, lazima uchanganye siasa za aina mbili. Ni kama zile film za Polisi mwema na Polisi mbaya.

Hata Mandela huko South Africa miaka ilee, kulikuwa na Wakimbizi wakiishi Mazimbwe kama Raia waliokimbia kweli na wengine wakiishi pande za Kongwa ambao walikuwa Wapigania uhuru kama maana hasa ya jina la Freedom Fighters. Wengi walikuwa wakienda SA na kuuwa Waupe kadhaa na kutoroka kurudi kwenye makambi yao yaliyokuwa nchi kadhaa kusini mwa Sahara.

Huko Irland kulikuwa na SINN FEIN upande mmoja na IRA upande mwingine. Wana Siasa kabla hawajaenda kujadili siasa, basi IRA wanafanya mambo ili Sinn Fein wakifika mezani, bargaining power yao iwe kubwa. ANC vilevile walikuwa wakijadili, huku Umkhonto we Sizwe wanafanya mauwaji yao au Sabotage huko SA.

Siasa za Tanzania si ngeni duniani katika haya mambo. Cha muhimu ni kujua ku-balance na kucheza karata zako vizuri. Inaonekana maandamano na misuso imewafanya Watanzania wengi sana waanze kujua nini kinaendelea kwenye katiba ya sasa na siasa za CCM kwa ujumla. Kama si misuso, unategemea wananchi wa Bunda wangelimzomea Wasira na Mkono? Na si kumzomea tu ila hadi kumpa shule kuwa "anavunja sheria kuijadili katiba wakati yeye si Mwana kamati."

Sema usemalo, andika ulitakalo ina nina uhakika Slaa hakupi usingizi.

Mwisho: kama huchukulii Personal, mbona kujishuku kwingi kwamba ulijua makala hii imekulenga wewe? Kwa nini isiwe ni Ngosha mwenzangu Pasco? Acha kujishuku na baadaye unaanza kujibaraguza kama Kigori asiyejua anataka nini.
Naona unajitahidi kuipeleka mada ulioanzisha mwenyewe kwingine. Hao Zanzibar ilibidi nyie mjifunze kwao, walipoona maandamnao hayafai, wanauawa na kuwa wakimbizi, wakaamuwa kukaa chini na kuongea, muafaka ukapatikana na sasa tunawaona wana madaraka. Nyie mngejifunza kwa hao, walipitia huko kabla yenu.

Niichukulie "personal" wakati hunijui sikujui. Kila mmoja na hamsini zake.
 
Dah, Mkuu Horseshoe, naona hapa umeweka TAIFA MBELE kwa sana. Naziona vizuri sana busara zako. Asante na tuendelee kuwa pamoja kwa manufaa ya Nchi na si chama (CCM, Chadema, NCCR nk) au mtu (Dr. Slaa, Kikwete, Mkapa, Lowassa nk). Haya mambo ya kuweka mtu mbele (Nyerere) ndiyo yametufisha hapa.

Mkiwa na mtu mzuri, mtaendelea sana ila akiondoka na akaja mjinga fulani hivi, mmekwisha. Ndiyo yaliyowakuta Ivory Coast haya. Enzi ya Rais Félix Houphouët-Boigny , hawa jamaa walikuwa juu sana na Abidjan ikiwa inaitwa Paris ya Africa huku yeye akienda kujijenga Mji Mkuu wa nchi na kanisa kubwa sana ambalo wengine wanadai linazidi ukubwa kanisa la Vatican huko wilayani kwao alikozaliwa, Yamoussoukro.
Alipokufa tu, nchi ikaanza kwenda mrama hadi ikaishia kuleta vita ya wenyewe kwa wenyewe ambayo imekuja kuisha mwaka jana kwa mtu kulazimishwa kutoka ofisini kwa mtutu baada ya kujichimbia ardhini kwa siku kadhaa kama Panya hivi.
So far km nimekuelewa bwana/bi Sikonge fact iliyopo hapa ni kwamba pamoja na kwamba ''Chama Chetu'' tumeshinda mbio,tukumbuke aliyetukimbiza siyo! Maana km siyo kulazimishwa perhaps mabadiliko haya (of which mchakato hauko huru sana) yangefikiwa miaka mingi mbeleni!
 
Kama unalaani sana maandamano, mbona hawa wadogo zako jana tu wameandamana?

Pia nilikuwa sijui chuki yako kwa Slaa, kumbe taifa hili linaongozwa na KANISA? Hivi Kikwete ndiyo Kanisa la Tanzania?

FF, ungelifanya la maana sana kwa kutumia busara zako kusaidia na wengine wafunguke macho. Wakati wewe unashinda hapa unasema Kikwete ndiyo Rais wa Tanzania, kuna wengine wanasema KANISA NDIYO KIONGOZI WA TANZANIA.

777f.JPG
Faiza Foxy..angali hilo in red, hujajibu bado!i
 
Kama unalaani sana maandamano, mbona hawa wadogo zako jana tu wameandamana?

Pia nilikuwa sijui chuki yako kwa Slaa, kumbe taifa hili linaongozwa na KANISA? Hivi Kikwete ndiyo Kanisa la Tanzania?

FF, ungelifanya la maana sana kwa kutumia busara zako kusaidia na wengine wafunguke macho. Wakati wewe unashinda hapa unasema Kikwete ndiyo Rais wa Tanzania, kuna wengine wanasema KANISA NDIYO KIONGOZI WA TANZANIA.

777f.JPG
Faiza Foxy..angali swali hilo in red, hujajibu bado!i
 
Kama unalaani sana maandamano, mbona hawa wadogo zako jana tu wameandamana?

Pia nilikuwa sijui chuki yako kwa Slaa, kumbe taifa hili linaongozwa na KANISA? Hivi Kikwete ndiyo Kanisa la Tanzania?

FF, ungelifanya la maana sana kwa kutumia busara zako kusaidia na wengine wafunguke macho. Wakati wewe unashinda hapa unasema Kikwete ndiyo Rais wa Tanzania, kuna wengine wanasema KANISA NDIYO KIONGOZI WA TANZANIA.

777f.JPG
Faiza Foxy..angalia hilo swali in red, hujajibu bado!i
 
Cdm kususa wamejifunza kutoka cuf na mtaona baadae kitakachofuata baada ya hawa viongozi kukanyaga ikulu, kwani maalimu.Seif si alianzaje


mi nadhani suala hapa ni uelewa ndo tatizo, kususa ni njia mojawapo inayotumika kuonesha umma kuwa hukubaliani na jambo fulani kama unaona chombo husika hakiko tayari kukusikiliza,move ya chadema ina maana sana na walifanya hivo ili kuwaeleza uma kuwa wao hawahusiki na mchakato mbovu kama huu, wanaopiga siasa za maji taka humu nina uhakika huo mswada hawajausoma, ni mbovu kuliko neno lenyewe, katiba ni dira, katiba ni afya.

katiba ni moyo wa nchi, katiba nzuri ni tumaini lao, iweje tuteke mjadala wa katiba na kujifanya tunauleta mshada kwa hati ya dharura? kwa lipi? usa wanapiga hatua nzuri kwa sababu hawakukurupuka, katiba yao imeandikwa 1787, na sasa inaishi na itaendelea kuishi na katika uandishi wake watu waliweka pembeni itikadi za kisiasa wakajadili mstakabali wa taifa, unapokuja tanzania katiba inashikiliwa na ccm, hatutafika nasema kama ndo hivi hatutafika!

Huu si muda wa kumtafuta mshindi sema tuwashukuru sana tena sana chadema kwa jitihada zao kuhakikisha tunapata katiba mpya na yenye tumaini jipya la nchi sio hii katiba ya kilango na komba, katiba ya chiligati na wanazi wa ccm walioenda bungeni kwa maslahi yao, na ukitaka kuwagundua hawa ni pale unapotaka kurekebisha jambo lililoenda ovyo liwe sawa kwa manufaa ya wananchi wote, basi unawagusa moyoni klwan wanaona kitumbua chao soon kinadodondoka! IFIKE HATUA TUWE NA SAUTI MOJA, WALIOFILISI HII NCHI IPO SIKU TUTAWAFILISI!
 
Chama cha kwanza kuwa na sera ya Katiba mpya ni CCM, CDM au CUF? Manake naona humu tunaongea bila kumbukumbu. Turejee Katiba za Vyama hivi ili tuwe sahihi pale tunapoamua kuongelea jambo fulani.
Wee Sugu1 kuwa mwelewa kinachozugumzwa ni ILANI ZA UCHAGUZI NA SIYO SERA ZA UCHAGUZI!
 
Hata nchi za kiarabu kwenye chimbuko la uislamu hukuti msichana katutuswa miremba atapata muda wakufikiri kweli au muda wote itakuwa kuweka lemba vizuri tunaiga na visivyo staili waacheni watoto wa kike wasome
777f.JPG
 
Slaa,

Nini kinachopotoshwa? nyinyi, wewe hususan ukiwa kiongozi ndiye uliyeongoza maandamano haramu yaliyopelekea watu kufa, wewe kama kiongozi umeshadidia kususa, kuanzia bungeni mpaka mitaani. Hapo ni kipi kinachopotoshwa?

Leo hii, wewe mwenyewe umeona kuwa kususa na maandamano sio tija, ni matatizo tu, ndiyo chama chakao kikaamuwa kumuomba Rais, wako na wetu sote, muonane nae. Kwa uungwana kabisa, Kikwete kakubali kuwaona, jee, mmepoteza nini?

Bado unataka kutuaminisha kuwa kumuona Rais na kujadili mambo muhimu (kama kweli yana umuhim) sio "isolated case"? Hapo ndipo nnapokuona kuwa unaongea kingine na kutenda kingine. Na hiyo inadhihirisha kuwa hata kwenda kwako kumuona kwenye hii unayosema sio "isolated case" si kwa matakwa yako, vipi? ilikuwa ni amri kutoka kwa Mwenyekiti.

Usemi wako wa mwisho hauashirii wema hata kidogo, kuliokoa hili taifa kutoka kwenye nini? Ikiwa Urais, ni demokrasia na kila mtu apendae anapiga kura. Sasa leo utuokoe kwenye nini? wengine tunaona siasa zako za maandamano na vurugu ni kututia kwenye janga na maafa, leo unaongea kutuokoa? Labda unachotaka ni kujiokoa mwenyewe (ambacho pia huwezi) kwa uchu wako wa madaraka lakini usituaminishe kuwa unataka "kuokoa taifa hili". Kikwete ndio "Chaguo la Mungu" na ndio chaguo letu tuliompigia kura, wewe rafiki inabidi ungoje 2015 (kama bado Mungu atakupa uhai, maana ni yeye tu muokoaji wetu sote) ujaribu tena bahati yako.

Kauli za mtu huashiria upeo wake, na hapa kwenye hizi kauli zako chache, na nyingi za uchochezi na siasa majitaka nilizokwisha zisikia, nasikitika sana kukuambia kuwa hufai kuwa kiongozi wa wote, labda baadhi tu ya Watanzania.

Utapoacha siasa za uchochezi na kuingia mitaani na kuanza kuingia Ikulu na kufanya kiukweli kuwa siasa sio "isolated case" kama maana ya neno siasa hapo ntakuona kuwa u mtu makini na unayeitakia mema nchi hii, kwa sasa na kwa kauli hizo tunataka tuone maandamano na kususa kuwa ni "isolated case" nakuona ni bado sana.

Dada Faiza Fox,

Ndio maana tangu mwanzo umetahadhalishwa kuwa usipotoshe watu na inaonekana kuwa uko mentally intoxicated and characterised at viewing sensitive issues on narrow parochial mind. Sorry to say this. Elimu ya kukaririshwa uliyopata naona ndio matatizo. Umeambiwa na Dr. kinachofanywa sio isolated incidence-it is a chain, it's a child of brainstorming supplemented by optimism. Ni kitu chanya na mtu mwenye nia chanya ndiye anayeweza kukielewa. Sasa wewe umeamua kuita isolated case na ukaenda mbali unasema yeye kwenda kumwona rais sio kwa matakwa ni kulazimishwa. Hapo ndipo unapodhihirisha kuwa wewe ni mpotoshaji of the highest degree.

Kwanza urais ni taasisi na wewe kama unafikiri urais ni Kikwete you are wrong. CDM wamekwenda kumwona Rais kama taasisi ili waongee mambo yenye maslahi kwa Taifa letu. Sasa wewe kama ni shabiki wa rais kama Kikwete kumbe angekuwa mwingine wewe usingemkubali hayo ni matatizo ya watu wenye upeo finyu na akili za viatu na mara zote hujitutumua ili watu wawafahamu kuwa wapo na wapo karibu na watu wakubwa. Lakini hata kama unalipwa kwa kazi hiyo let your blind job be guided by reservation. Huitaji kuvuma mithili ya debe tupu.
Kuhusu kulikomboa Taifa bado tatizo lako ni kufikiria kwa umbali wa pua na elimu ya kukaririshwa lakini inayochagizwa na prejudice uliyokuwa nayo. Unahitaji upitie semanatics na stylistics ile upanue wigo wako wa kufikiri kabla hujaandika na lazima uwe objective and critic in your argument hata kama mtu humpendi. Njoo na wewe kwenye hii non-isolated incidence tuokoe Taifa. Mungu hufanya kazi kupitia mikono ya watu ndio mimi, Dr.Slaa, Kikwete na wewe

Na how do you link police butchering innocent people wanaoandamana kudai haki yao na Dr.Slaa. Ina maana wewe ndiye
 
In any ways Kikwete anacheza kwenye parameters za CDM ambazo ni Katiba mpya haya mengine ya sijui wamekwenda ikulu sijui nani kamwalika mwingine nani kasusa hayana maana yeyote.

Jipe moyo, mmeingia ikulu mmekwisha hata 2015 hakuna kitu ! huyo ndio JK mmeingia wenyewe kwenye maneno yake pale bungeni aliyosema mlipo msusia '.............wametoka na watarudi, mie ndio Rais na hayo wayatakayo hakuna mwingine wa kuyatekeleza ila ni mie'.

 
Mwenye "parochial" mind ni mimi au aliyesomea kanuni za kanisa?

Hilo la "isolated case" rudia posts na uone ni nani aliyelisema.

Ikiwa mtu aliyesusa Rais, aliyepinga kuwa si Rais, aliyeamrisha maandamano, aliyekuwa hajaede kikao cha mwanzo, na sasa kasalaim amri na kaenda na tumemuona, na anapotoka huko anasema "tutawaokoa", "katiba sio mwisho wa matatizo", kuwa hii sio "isolated case", anaeongea hayo unafikiri kaenda kwa kupenda kwake? nnakuhakikishia ni matakwa ya Mwenyekiti wake, aliyekwenda Ikulu mara ya kwanza na wenzake, mara ya pili peke yake (imeripotiwa humu) mara ya tatu kamlazimisha katibu Mkuu aende akitaka asitake. hakuna cha kupotosha hapo ni "common sense" ambayo kwako amma haipo amma ni finyu ndio iliyotumika.

Hilo swali lako la mwisho hiyo ndio reaction za action kama mleta mada alipoielezea theory moja maarufu, au bado hukubali kuwa kila action ina reaction? Unataka kuvamia kituo cha polisi, unaambiwa tawanyika wewe unakaidi, ulitegemea reaction ipi hapo? upigwe na chelewa?

Well said Faiza hakuna ubishi !

 
Back
Top Bottom