dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Kwa mda mrefu CCM imekuwa na kampeni chafu hasa kwa ipinzani hasa pale wanapoteua au kumsimanisha mtu mwenye uhusiano na viongozi wa vyama hivyo. Cha kushangaza wana kula matapishi yao kwa kumpitisha mtoto wa marehemu tena kwa rushwa kwa mtazamo mwingine viongozi makini wanaachwa anabebwa mtu kigezo cha kujuana na rushwa. Wananchi wa Arumeru nawahurumia sana